Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,212
- 2,811
"Muda unakwenda muda unarudi"... sijaelewa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka pia, hali ya hewa uchangia. Ulaya ni baridi ukitembea taratibu ndo mwili unazidi pata baridi zaidi. Niliishi kidogo Ulaya nilifanya utafiti juu ya hili ulisemalo. Hivyo hii imewajenga muda wote kuwa katika mwendo wa haraka. Na pia wenzetu mambo mengi uwachanganya. Wazungu ni tofauti na waafrica sisi tunauwezo wa kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja. Lakini wenzetu daah! Anaweza jichanganya. Hivyo ujaribu kufanya kitu kimoja kwa haraka ili apate muda wa kufanya jingine. Na vilevile wametawaliwa na muda. hii uwasumbua sana, kulingana na majira na msimu katika maisha yao. Sasa wewe fikiria mara saa ziende mbele mara zirudi nyuma. Africa hiyo hatuna. Najivunia maisha yetu ya Africa yasiyo na pressure! Ndo maana wa Ulaya wamejaa msongo wa mawazo.
Sent using Jamii Forums mobile app