Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,403
- 21,086
- Thread starter
- #21
Unaleta masikhara kwenye ishu serious ishu ya mademu imeingiaje hapa?Ungetumia akili kidogo tu, ungenielewa.
Unaleta masikhara kwenye ishu serious ishu ya mademu imeingiaje hapa?Ungetumia akili kidogo tu, ungenielewa.
Unaleta masikhara kwenye ishu serious ishu ya mademu imeingiaje hapa?
Na hili ndilo tatizo kubwa la kuruhusiwa watoto kuchangia ishu nyeti kama hizi.
Wewe ndio haupo timamu tena haujui kinachoendeleaWewe haupo timamu. UDSM imependelewa lini? LETE USHAHIDI.
Haya toto kacheze na wenzako tuachie baba zako tujadili masuala ya msingi.
Dont assume kila mmoja anakijua bana just answer the Qn on board sio kuparamia na kuanza kutukana....Kwani Uongo ?
Hakuna mwanafunzi aliyefika ngazi ya chuo ambaye hakijui chuo cha Ardhi
Ndio maana umeambiwa Ardhi University itengeneze BRAND yake kupitia WAHITIMU & TAFITI zao ili iwe rahisi kupata fedha za kuendesha chuo badala ya kutegemea RUZUKU toka SERIKALINI tu. Case ya UDSM na 10 bilion ni tukio moja katika elfu moja. By the way aliyetoa 10 bilioni ni mhitimu wa UDSM kuanzia Shahada ya Kwanza mpaka ya Tatu, na si Ardhi University kuna ubaya kutoa kwa chuo ulichosoma (Alma Mater)?Wewe ndio haupo timamu tena haujui kinachoendelea
Ina maana hata hizo bilion 10 walizopewa UD nazo hauzijui?
jionee huruma wewe ambae huna cha kufanya unashinda JF kusifia chuo badala ya mafanikio yako binafsi.Ardhiii Ardhiii Ardhiii bongee la chuo lenye fani ambazo huwezi lala njaa hata siku 1
NAWAONEA HURUMA SANA HAO QUANTITY SURVEYORS WATAKAOZALISHWA UDSM MWAKA HUU
Watakuwa FAMBA kuliko mawlezo
jionee huruma wewe ambae huna cha kufanya unashinda JF kusifia chuo badala ya mafanikio yako binafsi.
Mkuu achana naye huyoSawa wewe unaejua
za asubuhiWatalaamu kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi hawaitajiki kwani ndio chanzo cha migogoro, wameshindwa kupanga Na kusimamia miji?, wameshindwa Kupima viwanja , maafisa Ardhi ndio wala rushwa hakuna haja ya kuwa nao
Watalaamu kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi hawaitajiki kwani ndio chanzo cha migogoro, wameshindwa kupanga Na kusimamia miji?, wameshindwa Kupima viwanja , maafisa Ardhi ndio wala rushwa hakuna haja ya kuwa nao
Unamaanisha hiyo pesa Alitoa mfukoni kwake!?Ndio maana umeambiwa Ardhi University itengeneze BRAND yake kupitia WAHITIMU & TAFITI zao ili iwe rahisi kupata fedha za kuendesha chuo badala ya kutegemea RUZUKU toka SERIKALINI tu. Case ya UDSM na 10 bilion ni tukio moja katika elfu moja. By the way aliyetoa 10 bilioni ni mhitimu wa UDSM kuanzia Shahada ya Kwanza mpaka ya Tatu, na si Ardhi University kuna ubaya kutoa kwa chuo ulichosoma (Alma Mater)?
NB: Dunia ya sasa lazima kutafuta pesa si kusubiri kupewa, Mbaneni Chancellor wenu atumie ushawishi wake (kama anao) kupata pesa za kujenga hosteli.
Kwani huwezi kuzungumzia matatizo yenu bila kutaja UDSM?Wafute ndio ,kwa sababu wanakithamini chuo kimoja tu
Embu jaribu kufikiria chuo cha Ardhi mabweni yao hayana uwezo wa kubeba wanafunzi wanaozidi mia tano lakini serikali wamekaa kimya tu lakini UDSM tatizo la mabweni sio kubwa lakini wameongezewa mengine wewe unaona hii ni haki kweli?
Chuo cha ardhi hata maji tu nayo ni shida ,majengo yamechakaa ile mbaya,Computer lab ,Computer zipo chache
Yani kwa kifupi Aru kuna matatizo mengi saana .
Ww pimbi kweli nani afanye kazi bure!mlitetenga wenyewe toka udsm kelele za nini,yaani ni aibu chuo cha ardhi kulilia majengo wakati hapo mna wataalam wa civil engineering,quantity surveyors,architec, watumieni hao
Na sisi tutawakomesha humo humoWatalaamu kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi hawaitajiki kwani ndio chanzo cha migogoro, wameshindwa kupanga Na kusimamia miji?, wameshindwa Kupima viwanja , maafisa Ardhi ndio wala rushwa hakuna haja ya kuwa nao
Vizuri sana mkuuUnamaanisha hiyo pesa Alitoa mfukoni kwake!?