MESHACK LUBINZA
Member
- Sep 18, 2016
- 34
- 17
Na wewe ndo uwezo wako wa kufikiria unpoishia hapo.Walimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali