amayabhu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 497
- 709
Hongera kwa hilo,,, basi wasaidie watanzania wenzakoHapana mimi nimesoma sehemu ambapo Ualimu ni taalamu inayo otwa na vijana wawapo shule mana hudahili wale top score,
Hongera kwa hilo,,, basi wasaidie watanzania wenzakoHapana mimi nimesoma sehemu ambapo Ualimu ni taalamu inayo otwa na vijana wawapo shule mana hudahili wale top score,
Tanzania tukiweka siasa kando tutafika mbaliHongera kwa hilo,,, basi wasaidie watanzania wenzako
Haya maneno yenu tulishayazoea...Nasikitika mh rais kuwapuuza walimu akiendelea na tabia hii tutakutana kwenye Kituturi 2020.
Kwahiyo we ulisoma wapi?. Kenya au Tz?. Km ulisoma Tz kumbe mbuzi wng ana akili kuliko ww!.Walimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali
We ulifaulu?Walimu ni failure hao kwanini awape attention?
Walimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili
kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali
wanafunzi bado watoto tunatakiwa kuwajali. waalimu hao wanatakiwa kunyooshwa kwanza.Nasikitika mh rais kuwapuuza walimu akiendelea na tabia hii tutakutana kwenye Kituturi 2020.
Walimu ni failure lakini walifanikiwa kukufundisha hata wewe kujua kusoma na kuandika kashfa kwao. Pole walimu.Walimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali
Issue siyo kuandika wapiga kura au usimamizi, tatizo ni wapiga kura.Walimu ndo wasimamizi wa kuandika wapiga kura na kusimamia uchaguzi wakiamua SSM wanalala mbele mapema, waanze kujipanga mapema
Acha kushambulia walimu wetu waliotufundisha kwa kujituma.hebu weka matokeo yako hapa tuone ukwel wa unalolisemaWalimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali
Acha uzembe....unajua maana ya ku fail?Walimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali
Mzinguaji kichiz huyo $%&*****Sikubaliani na wewe,UDSM ndio wanaongoza kudahili wanafunzi wengi wa Ualimu na kigezo ni div 1&2.
Mkuu naomba hapo kwenye wanafunzi urekebishe maana zaidi ya robo ya wanafunzi wa vyuo vikuu waliodahiliwa kwa mwaka 2016/17 hawajapata mkopo sasa sijui anawajali vipiNasikitika mh rais kuwapuuza walimu akiendelea na tabia hii tutakutana kwenye Kituturi 2020.
Walimu wote walifeli, ikashindikana kabisa kusomea ualimu ndiyo wakaamua kwenda kusomea ualimu.
watu wa namna hii ni waoga na hawajiamini. wanashukuru hata kwa hicho kidogo wanachopata, maana hawastahili kabisa kwa jinsi walivyofeli.
angalia kenya ambako ili uwe mwalimu lazima ufaulu na kuna bodi ya kusimamia taaluma ya ualimu, huwa wanaidindia serikali