dadysam
Member
- Nov 15, 2016
- 48
- 39
Wakuu habari zenu
Moja kwa moja kwa topic hivi ni kwanini hili swala limekua gumu sana yamenifika wakikaa mbali kuna amani sasa iwe kaja au tumeenda likizo kwa bi mkubwa wiki moja tu amani inapotea nimejaribu kuuliza naambiwa hii kesi ipo sehemu kubwa ya mahusiano hivi tatizo nini hasa???
Moja kwa moja kwa topic hivi ni kwanini hili swala limekua gumu sana yamenifika wakikaa mbali kuna amani sasa iwe kaja au tumeenda likizo kwa bi mkubwa wiki moja tu amani inapotea nimejaribu kuuliza naambiwa hii kesi ipo sehemu kubwa ya mahusiano hivi tatizo nini hasa???