Elections 2010 Hivi kwanini NCCR, TLP hawapatani na CHADEMA?

Mrema na Mbatia wote walikuwa NCCR kabla hakijasambaratishwa na Mrema na kuachiwa Mbatia kukiendesha; sijui wana siri gani waliyokuwa nayo kabla na baada maana hata Marando alisema alikuwa off kwa muda ule wote NCCR ilipokufa ikiwa chini ya Mbatia; sijui huenda kuna kitu kimejificha ila WOTE NI CCM B (wao kama wao)
Halafu wote wanatoka Vunjo...so no surprise kwamba they have something in common!
 
Ndugu zangu tusipindishwe mawazo na mafisadi kwa kutupandikizia chuki ya kuanza kubaguana kwa vyama.
Hapa wote tunahubiri mabadiliko kwa maisha ya mtanzania, ukiangalia chadema wanasema elimu bure, afya bure, Makazi bora, kilimo bora, kuwaangamiza mafisadi lakini tunapokuja kwenye issue ya vyama kama wewe ni NCCR, TLP au kama mimi chadema washawishi watanzania siyo unakuwa KAWE alafu unataka ujulikane TZ nzima.

Mimi nashangaa mtu ujiunge na NCCR au CUF kwa sera ipi.
Sijawahi kuona CHADEMA wakiiandama CUF au NCCR.

Nashukuru kwa watanzania kuiunga mkono chadema.
 
Back
Top Bottom