tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
Habari za siku nyingi enyi walipa kodi wenzangu?
Kuna issue nimekua naifanyia observation kwa muda mrefu sana lakini sipati majibu, kuna hii tabia ya wanawake hasa hawa wa hapa kwetu Tanzania.
Yaani wakishasikia tu mwanaume fulani yuko kwenye process za kuoa basi wataanza kujigonga kwake ili tu na wao waonekane wapo au kama unakuta mwanamke mwingine alikua ni X wako na mna miaka kibao hamjawasiliana lakini akipata taarifa tu unaoa basi lazima nae aanze usumbufu.
Hivi lengo lao huwa ni nini hasa au ni ili kuharibiana tu?
Kuna issue nimekua naifanyia observation kwa muda mrefu sana lakini sipati majibu, kuna hii tabia ya wanawake hasa hawa wa hapa kwetu Tanzania.
Yaani wakishasikia tu mwanaume fulani yuko kwenye process za kuoa basi wataanza kujigonga kwake ili tu na wao waonekane wapo au kama unakuta mwanamke mwingine alikua ni X wako na mna miaka kibao hamjawasiliana lakini akipata taarifa tu unaoa basi lazima nae aanze usumbufu.
Hivi lengo lao huwa ni nini hasa au ni ili kuharibiana tu?