Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,602
- 9,343
I think hii ndio njia sahihi kama mnataka kueleimisha na kusaidia jamii as well kutangaza biashara yenu. Mambo ya mjadala wakati mnajua ushauri na njia ambayo mteja anapaswa kifuata sioni kama inaleta tija.Asante kwa maoni Mshana Jr,
Tutakuja na suluhisho wakati wowote hivi karibuni. Umesema wahitaji ni wengi?
Sanasana binafsi ningependa kupatiwa taarifa kama huyo dada sales executive je ameolewa au la..