technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hivi mbona timu zingine giant za Africa zinaendelea na ligi za ndani Kama kawaida nimeona zimechezaMechi za Simba zisilinganishe na mechi za Azam na Biashara ambao wanacheza ligi ndogo ya Shirikisho.
1. Simba ina cheza Club Bingwa Afrika.
2. Simba ni giant team hapa barani Africa Africa na inatambulika hata na CAF ndio maana hawajaanzia hatua za mtoano kama Utopolo.
3. Simba ndio iliyowafanya Utopolo na Biashara united kushiriki ligi ya mabingwa bila kuwa na Sifa.
NB, ni ajabu timu zilikuwa nne zinazoshiriki kimataifa. anayelalamika ni Utopolo tu, ambayo ndio timu mbovu kuliko zote zilizoshiriki michuanio hiyo na kutolewa hatua ya awali kabisa na kufungwa nje ndani na bila kupata hata goli moja la kufutia machozi.
What special with this Makolo fc