Hivi kwanini matunda au mazao yanakuwa na msimu?

ommytk

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
482
1,053
Wadau hili suala sijui ni La kisayansi au sijui niliiteje .napata tabu sana nawaza hivi kwanini matunda yanakuwa na msimu yaani mfano sasa hivi uwezi kupata chungwa wala chenza ni Msimu wa Embe.

Mara msimu wa nanasi au hii inatoka nasisi wakulima tunavyopanda au ebu wataalam mtujuze kwanini matunda yanakuwa na msimu.ila dafu halina msimu pia.
 
Kama ilivyo kila zao lina mazingira yake ya uostawi/uotaji.

Basi hivyo hivyo Kila tunda/mmea una zaa kulingana na hali ya hewa iliyo favourable kwake,

Katika mzunguko wa mwaka na majira yake, ndio humo unapata mazingira/hali ya hewa rafiki kwa mmea huo.

Basi majira hayo yakifika, mmeo utastawi na kuzaa.
 
Kama ilivyo kila zao lina mazingira yake ya uostawi/uotaji.

Basi hivyo hivyo Kila tunda/mmea una zaa kulingana na hali ya hewa iliyo favourable kwake,

Katika mzunguko wa mwaka na majira yake, ndio humo unapata mazingira/hali ya hewa rafiki kwa mmea huo.

Basi majira hayo yakifika, mmeo utastawi na kuzaa.
Asante sanaaaaaa
 
Wadau hili suala sijui ni La kisayansi au sijui niliiteje .napata tabu sana nawaza hivi kwanini matunda yanakuwa na msimu yaani mfano sasa hivi uwezi kupata chungwa wala chenza ni Msimu wa Embe.

Mara msimu wa nanasi au hii inatoka nasisi wakulima tunavyopanda au ebu wataalam mtujuze kwanini matunda yanakuwa na msimu.ila dafu halina msimu pia.
Swali lako ni sawa na Kuulizia kwanini Uchaguzi Mkuu wa nchi nyingi duniani ni baada ya miaka kati ya Minne, Mitano na mpaka hata Miaka Saba?
 
Hakuna kiumbe ambacho kinazaa mfululizo lazima kuwe na muda wa kupumzika ili kurecover.....

Mfano binadamu akishazaa lazima kuna kipindi hawezi kupata mimba mpaka mwili uwe sawa.

Miti the same

Wanyama the same

Mazao kama mahindi, mchele ndio hayana mazao maana mbegu zake zinahitaji ardhi yenye rutuba tu ili kumea.
 
Kama ilivyo kila zao lina mazingira yake ya uostawi/uotaji.

Basi hivyo hivyo Kila tunda/mmea una zaa kulingana na hali ya hewa iliyo favourable kwake,

Katika mzunguko wa mwaka na majira yake, ndio humo unapata mazingira/hali ya hewa rafiki kwa mmea huo.

Basi majira hayo yakifika, mmeo utastawi na kuzaa.
Jibu liko hapa..japo hujazungumzia upande wa teknolijia.
 
Mkuu kutokana na kukua kwa teknolojia kwa sasa hakuna zao la msimu, yote yanazalishwa kutokana na uhitaji.....mambo ya misimu ni huku kwenye nchi zetu za ulimwengu wa tatu ambao ni wavivu kutumia akili zetu.
 
Mtoto utamjua tu:

Kwa nini wewe uko mtoto? je waweza kuzaa ukiwa mtoto?! utabarehe, utasoma, utatongoza/tongozwa! utatoa naliu jamaa litapachika yake atatokea km wewe! OK! utaondoka kwenu, utaoa/OLEWA,

utazaa watoto wengi , kwa nini usibakie km ulivokuwa mtoto? watasema umerogwa au wewe ni utasa huo unao!!!

utazeeka hatimae kifo! Wewe km mtu na mazao hamna tofauti!
 
Swali lako ni la msingi sana kwenye ulimwengu wa roho,

1.kwanini msimu wa matunda ,mimea , kwa sababu Mungu anahesabu zake kali zisizo mfano kuwa vipindi fulani au msimu fulani watu wanaumwa au wanapungukiwa vitu fulan ysn lishe matunda au miti ambayo msimu mwngne hakutakuw na uhitaj wa uponyaji huo , so msimu kwa ajili ya kutibu upungufu wa kinga au magonjw ambayo yapo kwenye hui msimu sasa tiba zake ni vyskula au matunda ya huo msimu,...


Jiulize kwanii rangi tofauti kwenye matunda???? Hilo hatujiulizi?????

Ndio km kwann misimi tofauti ???? Majibu ni hayo ,Mungu atusaidie kuwaza
 
Back
Top Bottom