twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 459
Ndugu wanaJf nimesikia viongozi wengi wakitajwa kwenye ukombozi wa Bara la Afrika kimataifa lakini huyu marehemu Abeid Amani Karume simsikii kabisa.Kitu gani hasa kimemfanya akakosa umaarufu kiasi hicho?Najiuliza pengine ni udhaifu wake wa kushindwa kutawala na kuikabidhi nchi kwa mkoloni mweusi tanganyika au ni kitu gani hasa?
Naomba tupeane darsa bila jazba tafadhali.Mabingwa wa historia na hadithi mnakaribishwa.cc Mzee Mwanakijiji Mohamed Said
Naomba tupeane darsa bila jazba tafadhali.Mabingwa wa historia na hadithi mnakaribishwa.cc Mzee Mwanakijiji Mohamed Said
Last edited by a moderator: