kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
Ukifuatilia kwa undani zaidi . hata ulimboka alitekwa bar . ma dokta asilimia 90 wanaongelea mishahara, pombe na siasa. na ukichunguza zaidi asilimia 99 ya madokta ni members humu jamii forum . na muda wote wapo online means hawako busy . na story zao ndio hizo hizo za kulinganisha mishahara yao na wanasiasa , wabunge , tra , bot.
JAMANI MADOKTA KWANI MLIRAZIMISHWA KUSOMA PCB AU KUSOMEA HUO UDOKTA ? ingieni kwenye siasa mfaidi hiyo mishahara mikubwa mnayoiongelea . harafu nyie si wasomi kama mnavyodai then na kama hiyo kazi hamuipendi au haiwalipi si mbadili kozi. very easy hama field piga masters yako ya acounts au political science. haizidi miaka miwili tu umesha graduate . najua hamshindwi . nyie si vichwa .au mnajiita vipanga . then jiungeni na kazi zinazolipa mpate hela nyingi na mazingira mazuri ya kazi.
Nawasilisha
JAMANI MADOKTA KWANI MLIRAZIMISHWA KUSOMA PCB AU KUSOMEA HUO UDOKTA ? ingieni kwenye siasa mfaidi hiyo mishahara mikubwa mnayoiongelea . harafu nyie si wasomi kama mnavyodai then na kama hiyo kazi hamuipendi au haiwalipi si mbadili kozi. very easy hama field piga masters yako ya acounts au political science. haizidi miaka miwili tu umesha graduate . najua hamshindwi . nyie si vichwa .au mnajiita vipanga . then jiungeni na kazi zinazolipa mpate hela nyingi na mazingira mazuri ya kazi.
Nawasilisha