hivi kwanini madokta story zao ni pombe na hela tu (mishara juu)

kupe

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
1,035
326
Ukifuatilia kwa undani zaidi . hata ulimboka alitekwa bar . ma dokta asilimia 90 wanaongelea mishahara, pombe na siasa. na ukichunguza zaidi asilimia 99 ya madokta ni members humu jamii forum . na muda wote wapo online means hawako busy . na story zao ndio hizo hizo za kulinganisha mishahara yao na wanasiasa , wabunge , tra , bot.

JAMANI MADOKTA KWANI MLIRAZIMISHWA KUSOMA PCB AU KUSOMEA HUO UDOKTA ? ingieni kwenye siasa mfaidi hiyo mishahara mikubwa mnayoiongelea . harafu nyie si wasomi kama mnavyodai then na kama hiyo kazi hamuipendi au haiwalipi si mbadili kozi. very easy hama field piga masters yako ya acounts au political science. haizidi miaka miwili tu umesha graduate . najua hamshindwi . nyie si vichwa .au mnajiita vipanga . then jiungeni na kazi zinazolipa mpate hela nyingi na mazingira mazuri ya kazi.

Nawasilisha
 
It sounds like nyoni. Kuukosa udaktari kusikufanye utoe kejeli. Wakosoe kwa makosa wanayofanya ila usilete taarabu, kwani drs hawaruhusiwi kujiunga jf?

Inaonekana unatumia njia ndefu na nguvu nyingi kuitwa dr!!!... Hata nyoni alikuwa na kejeli hizo kumbe ni pcb ilimsurvival of the fitest in the jungle.
 
Labda madactari uchwara unaokutana nao ..

Labda weye pia ni mlevi so story na rafiki zako wote karibu ni walevi

Nawajua madactri hawanywi pombe wala sigara hawavuti
 
He he he usituchukie if you have a crappy life.wengine tupo call ucku ndo maana unatuona jf asubuhi na mchana.kila kitu katika maisha kinaenda kwa timetable.je asilimia 90 ya wareja wa baa ni madokta?au ukiwa doc hurusiwi kunywa?
 
ukifuatilia kwa undani zaidi . hata ulimboka alitekwa bar . ma dokta asilimia 90 wanaongelea mishahara, pombe na siasa. na ukichunguza zaidi asilimia 99 ya madokta ni members humu jamii forum . na muda wote wapo online means hawako busy . na story zao ndio hizo hizo za kulinganisha mishahara yao na wanasiasa , wabunge , tra , bot. JAMANI MADOKTA KWANI MLIRAZIMISHWA KUSOMA PCB AU KUSOMEA HUO UDOKTA ? ingieni kwenye siasa mfaidi hiyo mishahara mikubwa mnayoiongelea . harafu nyie si wasomi kama mnavyodai then na kama hiyo kazi hamuipendi au haiwalipi si mbadili kozi. very easy hama field piga masters yako ya acounts au political science. haizidi miaka miwili tu umesha graduate . najua hamshindwi . nyie si vichwa .au mnajiita vipanga . then jiungeni na kazi zinazolipa mpate hela nyingi na mazingira mazuri ya kazi ................................... nawasilisha

Maneno ya mkosaji hayo! Wana haki ya kusema/kudai malipo mazuri. maana they have spent a lot of time under high mental stress kufika hapo walipo, they need/deserve good payment! Miaka 5 na wasita wa internship siyo kazi rahisi!
 
Mkuu Kupe,

either huelewi au hutaki kuelewa,

1. Dr.Ulimboka aliitwa hapo "bar" Leaders, na mikutano ya madaktari ilikuwa inafanyika kwenye kumvi mbalimbali hadi pale Mh. Waziri mkuu alipokataza na sio "bar"(just as a reminder)

2. Asilimia tisini(90%) anaongelea mishahara, pombe na siasa, ..hivi hawa si wananchi? Hawana haki kikatiba kuongelea haya?.Halafu hiyo asilimia tisini(90%) umeitolea wapi? Tueleze ulifanyaje huo utafiti!

3. "Ukichunguza zaidi asilimia 99 ni members humu jf" Kwani kada nyingine wamekatazwa kuwa members? au JF imesema haiwataki madaktari?Huoni ni kama chuki binafsi? Unajua TZ ina madaktari wangapi? kati yao unajua asilimia 99 ni ipi?Unaweza kuthibitisha?

4.Usomi ni nini mkuu?Kwa sababu napata shida hata kwa lugha yako "harafu" au "MLIRAZIMISHWA", kwako huu ni usomi?..

5.Uliambiwa madaktari walisoma kozi hiyo ili "watajirike"? unadhani walikuwa hawajui kozi zenye mishahara zaidi ya udaktari?!

Kwa "uchunguzi" wako ulioufanya kupitia hao "madaktari na asilimia zako" sijui kama uko sahihi.
 
ukifuatilia kwa undani zaidi . hata ulimboka alitekwa bar . ma dokta asilimia 90 wanaongelea mishahara, pombe na siasa. na ukichunguza zaidi asilimia 99 ya madokta ni members humu jamii forum . na muda wote wapo online means hawako busy . na story zao ndio hizo hizo za kulinganisha mishahara yao na wanasiasa , wabunge , tra , bot. JAMANI MADOKTA KWANI MLIRAZIMISHWA KUSOMA PCB AU KUSOMEA HUO UDOKTA ? ingieni kwenye siasa mfaidi hiyo mishahara mikubwa mnayoiongelea . harafu nyie si wasomi kama mnavyodai then na kama hiyo kazi hamuipendi au haiwalipi si mbadili kozi. very easy hama field piga masters yako ya acounts au political science. haizidi miaka miwili tu umesha graduate . najua hamshindwi . nyie si vichwa .au mnajiita vipanga . then jiungeni na kazi zinazolipa mpate hela nyingi na mazingira mazuri ya kazi ................................... nawasilisha

wewe utakuwa dhaifu . uwezi kuwajudge madokta na kuwatafutia kasababu dhaifu eti MOJA YA SABABU YA KWAMBA KWA NINI wanagoma eti ni PESA NA POMBE. mind your own business and do not follow OTHERS AFFAIRS damn sheet KUPE.
 
ukifuatilia kwa undani zaidi . hata ulimboka alitekwa bar . ma dokta asilimia 90 wanaongelea mishahara, pombe na siasa. na ukichunguza zaidi asilimia 99 ya madokta ni members humu jamii forum . na muda wote wapo online means hawako busy . na story zao ndio hizo hizo za kulinganisha mishahara yao na wanasiasa , wabunge , tra , bot. JAMANI MADOKTA KWANI MLIRAZIMISHWA KUSOMA PCB AU KUSOMEA HUO UDOKTA ? ingieni kwenye siasa mfaidi hiyo mishahara mikubwa mnayoiongelea . harafu nyie si wasomi kama mnavyodai then na kama hiyo kazi hamuipendi au haiwalipi si mbadili kozi. very easy hama field piga masters yako ya acounts au political science. haizidi miaka miwili tu umesha graduate . najua hamshindwi . nyie si vichwa .au mnajiita vipanga . then jiungeni na kazi zinazolipa mpate hela nyingi na mazingira mazuri ya kazi ................................... nawasilisha

OK. Una jingine???
 
Waziri mkuu aliwahi kuwaita mkakataa. Then mmeomba msamaha..... Na huyo ulimboka wenu kimyaaa kulikoni au ndio kishapozwa na mshiko......... Lets say mimi nipo TRA au BOT. unadhani natamani hata kuitwa dokta kwa njaa iliyoko huko...... Harafu issue ya mwisho kwani mlilazimishwa kuwa ma dokta. Na JK si aliwaambia anayeona u dokta haumlipi aondoke akatafute sehemu nyingine. Kila siku mmekaa mnapigaa kelele tu mara twendeni tukafanyekazi kusini. Mbona hamuendi????? Kibonde aliwasema sana mkamuona mbaya . Kama vipi acheni kazi njooni huku TRA , MIZANI, AU MJE MAAFISA MIKOPO BANK. Si mtakesha bar
 
Sina hamu na madoctor ni watu wabaya sana.....,Nilimpeleka hospita mke wangu siku moja, alikuwa na tatizo la uzazi, basi doctor(man) alimwambia avue chupi halafu alale juu ya kitanda....na doctor akawa anasokonyoa kitumbua kama dakika 20
 
Waziri mkuu aliwahi kuwaita mkakataa. Then mmeomba msamaha..... Na huyo ulimboka wenu kimyaaa kulikoni au ndio kishapozwa na mshiko......... Lets say mimi nipo TRA au BOT. unadhani natamani hata kuitwa dokta kwa njaa iliyoko huko...... Harafu issue ya mwisho kwani mlilazimishwa kuwa ma dokta. Na JK si aliwaambia anayeona u dokta haumlipi aondoke akatafute sehemu nyingine. Kila siku mmekaa mnapigaa kelele tu mara twendeni tukafanyekazi kusini. Mbona hamuendi????? Kibonde aliwasema sana mkamuona mbaya . Kama vipi acheni kazi njooni huku TRA , MIZANI, AU MJE MAAFISA MIKOPO BANK. Si mtakesha bar

MLIOFELI PCB na Kudisco muhimbili kazi kweli kweli...mnauchungu sana...mmmhh. Fanye ata PHD online kama nchimbi nanyi mtaitwa DR. tu isiwaumesana taito ya hao jamaa.
Madkatiri ninaowafahamu waliomaliza muhimbili hawana njaa...na katika maisha wamepiga bao sana tu...labda ujafanya utafiti wako vizuri...
kitendo cha kufanya kazi sehemu tatu wanauwezo wakuingiza zaidi ya Milion 3 kwa mwezi....sasa sijui kama umewahi kulifanyia tafiti hili pia. Maana tunasikia waliruhusiwa kufanya hospitali za binafsi ambako wanalipwa kwa masaa.
Acheni chuki zenu binafsi...tuliofeli PCB nakupata alama za kawaida wote tuliishia Bcom UDSM...japo tulitamani kuwa madaktari...na mpaka leo tunawatamani.
 
Waziri mkuu aliwahi kuwaita mkakataa. Then mmeomba msamaha..... Na huyo ulimboka wenu kimyaaa kulikoni au ndio kishapozwa na mshiko......... Lets say mimi nipo TRA au BOT. unadhani natamani hata kuitwa dokta kwa njaa iliyoko huko...... Harafu issue ya mwisho kwani mlilazimishwa kuwa ma dokta. Na JK si aliwaambia anayeona u dokta haumlipi aondoke akatafute sehemu nyingine. Kila siku mmekaa mnapigaa kelele tu mara twendeni tukafanyekazi kusini. Mbona hamuendi????? Kibonde aliwasema sana mkamuona mbaya . Kama vipi acheni kazi njooni huku TRA , MIZANI, AU MJE MAAFISA MIKOPO BANK. Si mtakesha bar

Mind your own businesses and leave OTHERS PEOPLES AFFAIR ,damn sheet !!!
 
Waziri mkuu aliwahi kuwaita mkakataa. Then mmeomba msamaha..... Na huyo ulimboka wenu kimyaaa kulikoni au ndio kishapozwa na mshiko......... Lets say mimi nipo TRA au BOT. unadhani natamani hata kuitwa dokta kwa njaa iliyoko huko...... Harafu issue ya mwisho kwani mlilazimishwa kuwa ma dokta. Na JK si aliwaambia anayeona u dokta haumlipi aondoke akatafute sehemu nyingine. Kila siku mmekaa mnapigaa kelele tu mara twendeni tukafanyekazi kusini. Mbona hamuendi????? Kibonde aliwasema sana mkamuona mbaya . Kama vipi acheni kazi njooni huku TRA , MIZANI, AU MJE MAAFISA MIKOPO BANK. Si mtakesha bar

Yaani hadi leo unaongelea kuitwa kwa W/mkuu mkuu wangu?!!! Uko dunia ya ngapi?..
Ni vizuri kufuatilia vizuri..walioomba msamaha ni kina nani, a day after they didi ulifatilia vyombo vya habari?
Kwani hakuna walioondoka??!
Kumbe shifa yako ilikuwa hela ndiyo maana uko TRA?
Sijajua point hasa ni ipi hapo juu mkuu wangu.
 
Unfounded argument, inaelekea una chuki na hawa watu. The whole argument is totally fallacious therefore rendered to be a ****!!!! Hiyo miaka miwili unayoongelea ni ile ya siku 365.25 / 366!!!!
 
JESUS the great physician.......daktari mkuu alianza YESU, usitukane kazi iliyompa sifa YESU hadi leo. Halafu wewe unaonyesha mgonjwa wa akili hapo ulipo tafadhali omba kumuona daktari haraka kabla hujawa kichekesho
 
Sina hamu na madoctor ni watu wabaya sana.....,Nilimpeleka hospita mke wangu siku moja, alikuwa na tatizo la uzazi, basi doctor(man) alimwabmia avue chupi halafu alale juu ya kitanda....na doctor akawa anasokonyoa kitumbua kama dakika 20
Halafu wewe ulikuwa unafurahia tu jana anavyosokonyoa mali zako au?,
 
Back
Top Bottom