Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
wanabodi, ni kwa kipindi sasa imekuwa ni dhahili kuwa mwenyekiti wa bunge ndugu mabumba hajui kuongoza bunge, hivi kwa nini anapokalia kiti lazima kuwe na vurugu? ni kwamba hana uwezo? na waliomuweka hapo hawlioni hilo? au ndo yale yale ys Udhaifu? Inakera sana