Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,142
- 1,302
Mkuu umeongea point sana, nimekuelewa aiseeKila raia wa nigeria akishika sh 1 jumla unapata million 190. Wana GDP kubwa kwasababu wapo wengi ila hamna wanachozalisha, we unajua bidhaa ngapi za kinaijeria? Elimu ya kiingereza ingekua inawasaidia tungekua na magari, treni au piki piki za kinaijeria lakini hakuna. Wahindi wanaleta bajaji na kiingereza hawajui. Wanaijeria wapo wengi ndomana GDP yao kubwa.