FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,045
- 40,705
Kwahiyo hoja sio uzalishaji tena, ni inaongelewa nchi ngapi si ndio? Sasa ni kwanini hatutilii mkazo kiarabu? Utumwa mwingine bhana..Unajua kingereza kinaongelewa na nchi ngapi duniani?
Unajua ni lugha ya kwanza ya kimataifa na ni kwasababu gani?
Jifunnze english alafu ingia google utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app