Nimeshaobserve sana hili suala yaani kwa mfano mimi nisipomtamani mdada rohoni, huyo mdada lazima anishobokee, kosa ni kuwa nikiona mdada halafu moyoni nikaanza kumtamani sana na kumpenda na kumuwaza kila siku, bhasi huwa simpati.
Hii haijalishi muonekano wake, mdada anaeza akawa mzuri tu, ila aagh nkamwangalia na kusema hata nkimtongoza atanipotezea muda, halafu anaeza asikae akilini mwangu, na hata nikilala nisimwazie wala kumtamani, ila baada ya muda huyo mdada mzuri ataanza shobo na mimi, just because rohoni sikumtamani.
Ila nikimtamani mdada kimawazo, hata kabla ya kutongoza, huyo mdada anakua hana interest kabisa na mimi, she won't give a damn about me, na anakua hajui kama na-exist
Why does this happen?
Hii haijalishi muonekano wake, mdada anaeza akawa mzuri tu, ila aagh nkamwangalia na kusema hata nkimtongoza atanipotezea muda, halafu anaeza asikae akilini mwangu, na hata nikilala nisimwazie wala kumtamani, ila baada ya muda huyo mdada mzuri ataanza shobo na mimi, just because rohoni sikumtamani.
Ila nikimtamani mdada kimawazo, hata kabla ya kutongoza, huyo mdada anakua hana interest kabisa na mimi, she won't give a damn about me, na anakua hajui kama na-exist
Why does this happen?