Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 2,690
- 5,312
Mi sijawahi kuwa na tatizo na mademu wa aina yoyote sababu ukivibe na mimi hata kama muonekano hauna au shape sio kivile huwa sijali mimi personality kwanza, japo nikigundua pia unajua malovee utajiongezea credit ishu inayonifanya niwakache wengi wanaonipenda ni kugandana sana,
Hamna kinachofanya niepuke kuwatokea mademu ni pale napojua ataniganda, mimi masuala ya kugandana sitaki kabisa nikikupenda nipende afu kausha ukianza kunisumbua kila mara, au kunipost post bila sababu ya msingi ntakukacha fasta yaani.
Hamna kinachofanya niepuke kuwatokea mademu ni pale napojua ataniganda, mimi masuala ya kugandana sitaki kabisa nikikupenda nipende afu kausha ukianza kunisumbua kila mara, au kunipost post bila sababu ya msingi ntakukacha fasta yaani.