Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,269
- 50,080
😂😂😂😂Nitayavuta kwa mkono hatarudia.Si vibaya akikupata utamsaidia kuzifanyia usafi mkuu
😂😂😂😂Nitayavuta kwa mkono hatarudia.Si vibaya akikupata utamsaidia kuzifanyia usafi mkuu
Daily mkuu? Mbona unafanya kururu? Mtoto wa kiume nguo ya ndani ivaliwe mpaka ikakamae kama gome la mti.1. Imarisha usafi
2. Fanya unyoaji mara kwa mara
3. Tibu fungus zote
4. Badilisha nguo za ndani daily.
5. Eneo libaki likiwa kavu Muda wote
Hakutakuwa na harufu zenye kukera.
Na unakuta uko kwenye pm za wadada bize kutongoza wakati kusafisha pumbu zako huwezi, putuuuuuuu
Unatafutaga nn kwenye pu-mbu za wenzio?Kwani makwapa yanaachaga kunuka???? Haina tofauti na hizo ndude....
Osha futa vizuri
MkuuNauli amekula hajaja, pumbu kazishika saa ngapi?
wala nauli
nimetumia kama kiwakilishi na nan uhakika umenielewa btw karibu dakuMkuu huo mchezo ni hatari mara ya kwanza kuexpirience hivo nilikaa usiku kucha nawaza kumbe nna mautam nayaning`iniza kila siku nahisi yapo yapo tuHuwa wanazifanyaje hao wala nauli?
Mkuu ama zako ni nzito sana? Nimejaribu kuwaza sijapata jibu. Nimevuta picha hiyo harufu picha Haiji kabisa.
Hapana. Zako zina shida. Labda zimesuswa 🤣🤣
Kwa maana zitakuepo harufu ambazo hazikeri ?Hakutakuwa na harufu zenye kukera.
Ni Fungus hao! Fanya usafi akuna mbadala wa hiloWe zioshe utakavyoziosha, zipigie perfume uwezavyo but still lazima kaharufu katoke..
#Wataalamu njooni mnipe Darasa
🙏🏽Iwafikie Wanaume na Wanawake wote1. Imarisha usafi
2. Fanya unyoaji mara kwa mara
3. Tibu fungus zote
4. Badilisha nguo za ndani daily.
5. Eneo libaki likiwa kavu Muda wote
Hakutakuwa na harufu zenye kukera.
Mmh huo ni ugonjwa na kuna namna ya kuosha hizo sehemuHivi kwa nini korodani zinawasha na kunuka?
We zioshe utakavyoziosha, zipigie perfume uwezavyo but still lazima kaharufu katoke.
#Wataalamu njooni mnipe Darasa.