UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Matambiko kayaanzisha nani? kwa sababu mababu zetu kuyafanya hayo matambiko si kigezo kwamba walikuwa sahihi,tupe historia ya hayo matambiko na yanahusika vp na mungu unayeamini yupo?Watu wengi wana uelewa mdogo sana kuhusu dini.Natamani kama kuna mtu anajua namna dini hizi mbili kubwa zilivyoanza angetujulisha.Watu hawajui kama dini ni taasisi kama taasisi nyingine na zinasajiliwa kama unavyosajili kampuni.Kifupi ni kwamba Mungu yupo lkn hana dini.Dini za Kikristu na Kiislam zilianzishwa na wazungu na waarabu kadiri ya uelewa na malengo yao wakati huo.Africa ilikua na dini pia wakati huo(Matambiko).Kilichotokea ni kuzidiana kete tu,wazungu na waarabu walifanikiwa kuwashawishi Mababu zetu kwamba kutambika haikua sawa bali wamjue Yesu na Mtume.Ni vema mkajua pia endapo babu zetu wangekua wajanja wakati huo huenda dini za matambiko ndo zingekua dini za kidunia sasa.Kwa hiyo usijisifie kwamba bora mimi mkristu au muislam,jisifie kwamba namjua Mungu.Ndio maana haohao waliowaletea hizo dini wao hawazitaki makanisa wanageuza bar shauri yako we ulieletewa na kujifanya unaijua kuliko wenyenayo.Pokeeni na huo ushoga kama mlivyopokea vingine.Usijedhani utamaduni wa dini za kuletewa uko salama kamwe.Wazungu wanalawiti watoto wa kiume,kwani uwongo? Waarabu mwanaume ukiinama wanakusifia...Mtukuze Mungu sio dini.