Kidamva
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,580
- 1,981
Jana nimeangalia kipindi cha Dakika 45 ITV nimesikitishwa sana na Sam Mahela alipokuwa akimhoji Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro.
Of course alikuwa na maswali ya msingi mazuri, lakini anakosa follow up questions, matokeo yake anamwacha mhojiwa atiririke tu hata kama hayuko sahihi.
Kwa mfano alipomuuliza kuhusu kukamata wapinzani, Sirro alisema Polisi wataendelea kuwakamata kwa sababu ni wahalifu, akaongea pale kama dakika 5 hivi, Mahela amenyamaza tu.
Kwanini hakuchomeka maswali mawili matatu pale? Ina maana wahalifu ni wapinzani tu? Mbona wanakamatwa wakifanya mikutano ya Ndani wakati hata CCM wanafanya na hawakamatwi?
Hapo niliona udhaifu mkubwa wa Mahela, nikabaki kujiuliza; kwa nini ITV wanampa kipindi Kizito kama hiki wakati hana uwezo? Au ITV wanaangalia uzuri wa sura ya mwandishi tu?
ITV wanapata bahati ya kupata vipngozi wazito wa kuwahoji, lakini wanashindwa wanashindwa kuwabana kwa maswali ya msingi. Na hii yote ni kwasababu hawana upeo wa mada mahsusi au hawasomi kabla ya kuhoji mtu.
ITV badilikeni.
Of course alikuwa na maswali ya msingi mazuri, lakini anakosa follow up questions, matokeo yake anamwacha mhojiwa atiririke tu hata kama hayuko sahihi.
Kwa mfano alipomuuliza kuhusu kukamata wapinzani, Sirro alisema Polisi wataendelea kuwakamata kwa sababu ni wahalifu, akaongea pale kama dakika 5 hivi, Mahela amenyamaza tu.
Kwanini hakuchomeka maswali mawili matatu pale? Ina maana wahalifu ni wapinzani tu? Mbona wanakamatwa wakifanya mikutano ya Ndani wakati hata CCM wanafanya na hawakamatwi?
Hapo niliona udhaifu mkubwa wa Mahela, nikabaki kujiuliza; kwa nini ITV wanampa kipindi Kizito kama hiki wakati hana uwezo? Au ITV wanaangalia uzuri wa sura ya mwandishi tu?
ITV wanapata bahati ya kupata vipngozi wazito wa kuwahoji, lakini wanashindwa wanashindwa kuwabana kwa maswali ya msingi. Na hii yote ni kwasababu hawana upeo wa mada mahsusi au hawasomi kabla ya kuhoji mtu.
ITV badilikeni.