Hivi kwanini hawa mabody builder wa kibongo wana vibamia?

Status
Not open for further replies.

jerry joshy

JF-Expert Member
Jul 8, 2015
402
504
Tuwekane sawa hivi kwanini wabeba chuma wengi haswa wa kibongo hawanaga mbele yaani hamnaga kitu hapo mbele namaanisha wanavibamia inamaana nyama za chini zinahamiaga kwenye vifuaa au? Manake unakuta wapo flat kama wamepigwa pasi tatizo ni nini?

PhotoGrid_1496661277041.jpg
PhotoGrid_1496661242513.jpg
PhotoGrid_1496661215187.jpg



N:B Nataka kubeba vyuma naogopa kupoteza hogo langu nikawa kama wao!
 
piga chuma mkuu wala usiogope,
we kama una hogo kubwa hata alipungui.
Me huu ni mwaka wa tatu sass napiga chuma, hogo liko poa na nagawa dozi vizuri kwa warembo
 
mtoa mada hajakosea kabisa! mi nina mshikaji wangu ni mbeba vyuma ila linapokuja suala la wanawake hua bure kabisa! nakumbuka kuna siku mdada flani hivi alimwambia ndio maana una kidudu kidogo kama kidole cha mwisho. mwingine akamwambia mbona hua unahema sana wakat wa mchezo? alikua na lundo la wanawake wanao mshobokea ila hawarudiagi ku-date nae. wengine wanamuita box! dah shida sana
 
se
mtoa mada hajakosea kabisa! mi nina mshikaji wangu ni mbeba vyuma ila linapokuja suala la wanawake hua bure kabisa! nakumbuka kuna siku mdada flani hivi alimwambia ndio maana una kidudu kidogo kama kidole cha mwisho. mwingine akamwambia mbona hua unahema sana wakat wa mchezo? alikua na lundo la wanawake wanao mshobokea ila hawarudiagi ku-date nae. wengine wanamuita box! dah shida sana
semaa ww yaan wabebaa vyumaa wote hamnaaa kitu kitandani kelele nyingii alafu wanajifanyagaaa wanapupaa hao wakiwaa kitandani kuvuaa nguo ni dk za mwisho mbavu zinawastiri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom