Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,984
- 103,357
CDM ni chama cha kishamba sana kile, if you know what I mean.
Sisi CCM ki ukweli ni wepesi kama pamba (deep inside this very true), kiasi kwamba chadema wakikaza kidogo tu CCM tunaachia hii nchi asubuhi na mapema kabla ya jogoo la alfajiri.
Ishu ni kwamba, hawa jamaa hawana uweledi kabisa katika kufanya mambo yao.
Actually they have and practice the same old methods which we CCM have knew them a very long time ago, and u fortunately the old methods normally yield the same results which are no maajabu at all.
One time (not a very long time), tindo if I can right suggested one of the very mass destruction weapon of dealing with us, but the guys didn't consider.
Ki msingi chadema ni chama chakavu na kisicho na mbinu sahihi za mapigano kwenye uwanja wa siasa.
Acha tuendelee kuwanyoosha one by one.
CCM halla! Halla CCM!
Which mass destruction you advised!? Seems you are trying to play mind games with me.