mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Kuna Mambo yanatia aibu na kufanya, watu tuamini kuwa Ufipa pale wengi ni akili kuambiwa.
Chama cha CHADEMA toka kimeanzishwa na ukubwa wake wote Ila jengo lao la makao makuu linashindwa thamani na jengo la shishi food.
CHADEMA wamekua waumini wa kupiga kelele kuwa nchi toka CCM imeshika madaraka nchi haijaendelea Ila wanasahau kuwa wao ofisi hata ya million mia 3 imewashinda.
CHADEMA badilikeni, ni aibu kushindwa kimaendeleo na Chauma na ACT.
Chama cha CHADEMA toka kimeanzishwa na ukubwa wake wote Ila jengo lao la makao makuu linashindwa thamani na jengo la shishi food.
CHADEMA wamekua waumini wa kupiga kelele kuwa nchi toka CCM imeshika madaraka nchi haijaendelea Ila wanasahau kuwa wao ofisi hata ya million mia 3 imewashinda.
CHADEMA badilikeni, ni aibu kushindwa kimaendeleo na Chauma na ACT.