Jamani hii inakera sana marafiki zangu wengi wameumia katika tukio la jana kule Arusha, na watanzania wenzangu wote hasa wapenda haki nadhani imewauma sana, sasa ombi langu kwa chadema itisheni maandamano ya Amani ya kulaani hili tukio
nani kakwambia maandamano ndio dawa??!!
je katika kuandamana kwenu ikitokea miripuko nani alaumike??!!!
kukurupuka kwa waandamani ama vyombo vya usalama??!!
ni wakati wa kutulia na kupunguza mikusanyiko isiyo na maana na kuwacha vyombo husika vichunguze kwa undani sababu za mripuko,na nani alihusika katika kutekeleza shambulio hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.