Lengo ni jina anakotokea mtukufu liwenoSielewi Kwa nini inakuwa hivyo? Burigi ipo mkoani kagera IPO katika wilaya ya muleba, biharamulo na kidogo karagwe.
Chato ipo huko geita.sasa inakuwaje inaitwa burigi chato national park?View attachment 1126210
Geita ni mkoa tayari na Chatto ni miongoni mwa wilaya zake.Nahisi ulidhamiria kuandika tofauti mkuu.Huenda baadae mkoa utaongezwa na itakuwa ndani ya mkoa wa Geita wilaya ya Chato, akili za kuambiwa changanya naza kwako
Thats all Magufuli is FailingUzandiki upo na unaishi,
hiyo hifadhi ni sehemu ndogo sana inaingia mpaka chato lakini haitoi uhalali wa hifadhi nzima kuiita chato national park hata aibu hana
Angekuwa mjanja angeunda mkoa na biharamulo ikawa sehemu ya mkoa mpya kidoogo ingeleta maana lakini hiki kilichofanyika ni u,,,,,ku,,,ma
Aibu ipi wakati yote ni tz...ww hamnazo ....Uzandiki upo na unaishi,
hiyo hifadhi ni sehemu ndogo sana inaingia mpaka chato lakini haitoi uhalali wa hifadhi nzima kuiita chato national park hata aibu hana
Angekuwa mjanja angeunda mkoa na biharamulo ikawa sehemu ya mkoa mpya kidoogo ingeleta maana lakini hiki kilichofanyika ni u,,,,,ku,,,ma