Hivi kwanini "Bongo fleva" zimejaa mashairi yanayoashiria matusi, uzinzi na uasherati?

Kuna wengine wanasema waziwazi"nizame mpaka chumvini"..hii ni tafsida ambayo wengi wetu tunajua maana yake..
 
Siskilizagi izo nyimbo mara mbili labda niskie kwa jirani reggae is the best songs in my life
 
Kweli kabisa mkuu, mimi huwa najiuliza hivi hizi bongo fleva zinafaa kweli kufundishia "fasihi" kama zilivyokuwa nyimbo za kina "Marijani"? Miaka 30 inayokuja vijana wetu watajifunza nini kutokana na hizi bongo fleva?


Kwa heshima na taadhima naomba uwasaidie kutunga Chief

Lakini naomba unijibu haka kaswali ulaya huwa unasikiliza ama kutizama nyimbo za nani lakini pia naomba nikuulize nyumbani kwako una CD ama flash za nyimbo za aina gani ya muziki?
 
Hapo ni kila zama na wakati wake,mambo yanabadilika na ngumu kuzuia

una maana hata kumlala mana mzazi unaweza maana kila zama na wakati wake, wewe huna dini , dini haina zama ni ileile kuwa muaadilifu iko siku mwanao atakufanyia kitu kibaya usije kulalamika maana ni zama
 
Makalio!! unamwambia huo ni msamiati mpya
Sawa kabisa unamwambia ni "makalio", ok, sasa anamsikiliza Diamond kwenye wimbo wa Salome akisema; "mie bebi, kwenye msambwanda, huwa siendagi ngenge ni ngangaaa".... Hapo unafikiri watoto wanapata picha gani?

Mfano mwingine ni msanii Motre The future, yeye kuna wimbo wake mmoja anasema; "nipe msambwanda, nipe mpaka tope"..... Hivi kwa mashairi kama haya watoto wetu wanajifunza nini??
 
Kwa heshima na taadhima naomba uwasaidie kutunga Chief

Lakini naomba unijibu haka kaswali ulaya huwa unasikiliza ama kutizama nyimbo za nani lakini pia naomba nikuulize nyumbani kwako una CD ama flash za nyimbo za aina gani ya muziki?
Mimi napenda sana muziki wa "country". Lakini hiyo haina maana kuwa sisikilizi aina nyingine ya muziki. Hata "bongo fleva" pia nasikiliza sana lakini siyo zote zilizojaa mashairi machafu. Isitoshe wakati mwingine siyo rahisi kukwepa kuzisikiliza hizi nyimbo zenye mashairi machafu hasa zinapopigwa kwenye vyombo vya usafiri kama daladala n.k.

Nikiwa nyumbani kwangu naweza kuamua aina ya muziki ninaotaka kusikiliza, lakini unapokuwa kwenye public place siyo rahisi kuchagua nini unataka kusikiliza.
 
Mimi napenda sana muziki wa "country". Lakini hiyo haina maana kuwa sisikilizi aina nyingine ya muziki. Hata "bongo fleva" pia nasikiliza sana lakini siyo zote zilizojaa mashairi machafu. Isitoshe wakati mwingine siyo rahisi kukwepa kuzisikiliza hizi nyimbo zenye mashairi machafu hasa zinapopigwa kwenye vyombo vya usafiri kama daladala n.k.

Nikiwa nyumbani kwangu naweza kuamua aina ya muziki ninaotaka kusikiliza, lakini unapokuwa kwenye public place siyo rahisi kuchagua nini unataka kusikiliza.

Basi sawa kaka nimekwelewa na umetoa mchango kama mdau wa muziki na si mihemko kama wafanyavyo wengine lakini safari yamabadiliko ni sisi wenyewe na wao wanatupa tutakacho,tizama hao sijui wasafi wanatembea na kiki kila siku za aibu na ujinga wa kila aina huku wakipata wajinga wengi wanaopenda ujinga ndo maana unaona mavoko anashindwa kwenda na kasi yao coz si mtu wa sikendo ama matusi ya wazi

Lakini wao wanatupa zaidi kile wanachoamini ndicho tupendacho ni kama tu Joti kuvaa sketi na mambo ya kishoga huku tukimsapoti kwa kusema anafanya komedi,ile sio komedi mzee na ingekuwa hivyo basi majuto ama Mr Bean wangelipishana kununua madela

Lililojema ni kujikalia kimya maana hatuwezi kuflash vichwa vya wapumbavu bora wale wajinga ila si hawa wapumbavu ambao zito kwenye mkutano wa kuongelea ripoti anamaiki mbili huku Diamond akizungumzia video za utupu akiwa na maiki kumi na tano za media kubwa acha waimbe kaka
 
Mkuu mleta mada, asilimia kubwa ya wasanii wa fleva wanatoka Dar na huko hali ya wanaume wao inafahamika. Wengi wao ni watoto wasiojitambua, wambea, mashoga, vilaza, na si watu wa kuwatilia maanani.
 
umesahau hii inasema

mm ni ngakuona wako usisite kunipa jicho,Nipe michezo hatare ninyonye mpaka ............ kibamia
 
Basi sawa kaka nimekwelewa na umetoa mchango kama mdau wa muziki na si mihemko kama wafanyavyo wengine lakini safari yamabadiliko ni sisi wenyewe na wao wanatupa tutakacho,tizama hao sijui wasafi wanatembea na kiki kila siku za aibu na ujinga wa kila aina huku wakipata wajinga wengi wanaopenda ujinga ndo maana unaona mavoko anashindwa kwenda na kasi yao coz si mtu wa sikendo ama matusi ya wazi

Lakini wao wanatupa zaidi kile wanachoamini ndicho tupendacho ni kama tu Joti kuvaa sketi na mambo ya kishoga huku tukimsapoti kwa kusema anafanya komedi,ile sio komedi mzee na ingekuwa hivyo basi majuto ama Mr Bean wangelipishana kununua madela

Lililojema ni kujikalia kimya maana hatuwezi kuflash vichwa vya wapumbavu bora wale wajinga ila si hawa wapumbavu ambao zito kwenye mkutano wa kuongelea ripoti anamaiki mbili huku Diamond akizungumzia video za utupu akiwa na maiki kumi na tano za media kubwa acha waimbe kaka
Nakubaliana na wewe kabisa, sisi hatuwezi kubadilisha mawazo ya hawa "Wasanii" lakini Serikali inaweza kuzisimamia sheria zake hasa kwa kuitumia BASATA, kwani sasa imekuwa kama vile BASATA wao wanaangalia tu video na kuzikosoa bila ya kuangalia "mashairi" pia. Matusi yanaimbwa wazi wazi hata kama wanatumia misemo fulani fulani, lakini misemo hiyo inajulikana wazi kuwa ni matusi.

Tatizo hapa ni kwa vijana wetu wa baadaye ambao wanajifunza na kuona ni sawa tu kuimba matusi na kuongea maneno ya hovyo hovyo yasiyofaa. Ukweli ni kwamba hali hii ikiachiwa tu bila kudhibitiwa, tutakuwa na kizazi cha hovyo sana hapo baadaye.
 
Tatizo ni kukijua sana kiswahili ukikijua sana inabidi utumie mafumbo ili kuwateka watu, sema tatizo ni kwamba tumeshaelewa na mafumbo kinachotakiwa ni aina mpya ya Lugha, hawa hawa kina mond rayvany nawenzao aslay pia hawawezi kuimba maneno kama haya kwa kiingereza maana hawataeleweka popote.
 
Yaki=Popote nipo
Jafarai= Unapenda nini
AT=Mamantilye
Offside trick=Samaki.
Nakuhakikishia asilimia 90 ya watz hawaelewi maana yake haswa, lakini kwa leo huwezi kuwaficha wabongo.

Wazungu mafumbo yao ni kwenye video na movies.
 
Sema kweli vijana wengi Siku hizi hasa wanamuziki wa bongo fleva wamekuwa na utunzi mbovu wa mashairi kupindukia yaani si nyimbo za mapenzi ni kuimba tu ngono (nazani ni kwa sababu ya kizazi hiki wao no ngono na bange tu)

Nimeandika haya kuwaomba vijana wengi kuliko kusota kwenye kitu kisicho na faida in heri wakasomee hats ufundi umeme kuliko kupoteza muda kuimba ngono tu

Ninajaribu kuwasikiliza akina marlaw,zanto,ferooz,professor J,jdee,n.k nawasikiliza na akina harmonize ,mondi ,rayvany ,lavalava n.k naona bado sana kwa utunzi wao kwa mafundi wa mashairi kama Mimi naona ngoja tu niendelee kuwasikiliza akina Ed sheraan ,sia,n.k kuliko kukaa mbele ya watoto wangu eti nasikiliza ......."msambwan###.....uje ....geto .....nikulambe .....sijui nn 🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞🔞
 
Wenzako inawalipa ndio maana wanaimba kuhusu hizo ngono

Kama ingekua huo ufundi unalipa si wangeenda kujifunza hayo mambo ya ufundi
 
Back
Top Bottom