pererge
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 571
- 201
katika website ya 'live ships map' nimeweza kuiona bandari ya jirani zetu kenya, visiwa vya comoro, madagasca, msumbiji na afrika kusini ambapo zinaonekana taarifa za meli nilizotia nanga, zinazoingia na zinazotoka isipokuwa bandari ya Dar es Salaam ndio haionekani kabisa ingawa hadi mwanzoni mwa mwaka huu ilikuwa ikipatikana. kuna tatizo gani na mnara wa rada upo bado mpta kabisa pale kivukoni? mwenye kulijua hili naomba atufahamishe.
Kwa upande wa uwanja wa ndege hali ni hiyo hiyo, ukiingia kwenye 'live filght tracker' utauona uwanja wa ndege wa Nairobi na Bujumbura ( kwa majirani zetu). Dar na Kia havionekani. Muda huu nimejaribu kuiangakia ndege moja ambayo imetokea Nairobi kuelekea S/Africa, imekuwa ikionekana hadi ilipofika usawa wa anga la kilimanjaro imepotea (siioni tena mtandaoni). Je situliwahi kununua rada ya kisasa kipindi cha Mkapa kwa ajili ya Uwanja wa Dar? kwani haifanyi kazi?
Naomba kujuzwa wandugu.
Kwa upande wa uwanja wa ndege hali ni hiyo hiyo, ukiingia kwenye 'live filght tracker' utauona uwanja wa ndege wa Nairobi na Bujumbura ( kwa majirani zetu). Dar na Kia havionekani. Muda huu nimejaribu kuiangakia ndege moja ambayo imetokea Nairobi kuelekea S/Africa, imekuwa ikionekana hadi ilipofika usawa wa anga la kilimanjaro imepotea (siioni tena mtandaoni). Je situliwahi kununua rada ya kisasa kipindi cha Mkapa kwa ajili ya Uwanja wa Dar? kwani haifanyi kazi?
Naomba kujuzwa wandugu.