welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,680
- 3,579
Kwanini wanawake anapokuja mwanamke mwezako anataka ushauri unamuangamiza kwa chuki ambazo labda wewe umepitia badala ya kumtakia heri na mawazo mazuri!
kivipi fafanua!
pole mkuu!Umefupisha story yako imekosa radha (ladha)
Si unaona bado hadhira haijaelewa chochotepole mkuu!
wataelewa tu katika tafakari! kwani swali langu limelenga katika upendo kati ya wanawake ila najua si wote wapo wanao shauriana mambo mazuri sana!Si unaona bado hadhira haijaelewa chochote
Huu ujumbe nitamfikishia, unajua tena hapo kesho yake dogo kaondoka karudi mida mibovu na kalewa yeye anafurahi tu!Ingetafsirika kama chuki endapo yeye angekuwa kwenye ndoa halafu amshawishi mwenzie kuvunja ndoa, Kwa kesi hii naona dada mtu uelewa wake ndipo ulipokomea hapo! Hana namna nzuri ya kuapproach changamoto za ndoa, hana the hows and whys, hajui sababu na vyanzo vya tafrani ni tofauti na vya kwake, yaani kutokana na experience yake anafikiri kila mtu anapita mulemule hata kama safari iko tofauti.
Mambo yasiwe mengiKumbe kuandika kitu na kueleweka vizuri sio jambo dogo??..sikujua aisee
Ndiyo maana wengi ni wachawi, ukirogwa na mwanamke huponi, mume unapona faster, me akikupiga limbwata ni mchekea halina nguvu.Kwanini wanawake anapokuja mwanamke mwezako anataka ushauri unamuangamiza kwa chuki ambazo labda wewe umepitia badala ya kumtakia heri na mawazo mazuri!