Usiwe mtu wa kuongea kwa ushabikiNani alimtuma akatukane, anakutetea kwa lipi haswa????
Hata mimi nawashangaa wana Arusha mmetulia wakati huyo sijui rais wenu yupo locked upHii kitu inaniuma sana ndo maana nauliza kwanini? Haiwezekani anayetutetea anasota tunaotetewa tuko kimya.. Hats kama sis ni mabata na makunguru lakini hebu tupazeni angalau sauti.
Hawa watu wanatuchezea michezo ya lijinga na sisi tunacheza nao
Sasas sauti za mabata na kunguru zinapazwa wapi mkuu?Hats kama sis ni mabata na makunguru lakini hebu tupazeni angalau sauti.
Hawa watu wanatuchezea michezo ya lijinga na sisi tunacheza nao
unafikiri Tutumie njia gani ili kumnusuru lemaHii kitu inaniuma sana ndo maana nauliza kwanini? Haiwezekani anayetutetea anasota tunaotetewa tuko kimya.. Hats kama sis ni mabata na makunguru lakini hebu tupazeni angalau sauti.
Hawa watu wanatuchezea michezo ya lijinga na sisi tunacheza nao
Wewe umeumia kuliko familia yake?nenda kalale barabarani uchi uoneshe uchungu wako Lema ataachiwaHii kitu inaniuma sana ndo maana nauliza kwanini? Haiwezekani anayetutetea anasota tunaotetewa tuko kimya.. Hats kama sis ni mabata na makunguru lakini hebu tupazeni angalau sauti.
Hawa watu wanatuchezea michezo ya lijinga na sisi tunacheza nao
Hii kitu inaniuma sana ndo maana nauliza kwanini? Haiwezekani anayetutetea anasota tunaotetewa tuko kimya.. Hats kama sis ni mabata na makunguru lakini hebu tupazeni angalau sauti.
Hawa watu wanatuchezea michezo ya lijinga na sisi tunacheza nao
Mikia yote imerudishwa nyumaNmeshagundua Watanzania ni waongeaji tu lakini hakuna mtendaji!
Vijana wa Arusha walikuwa wanampiga mkwara JK tu sasa hivi wameufyata, *****!