made
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 890
- 581
Nimejaribu kufuatilia kwa makini sana na nimegundua ajira nyingi katika taasisi zetu za serikali huchukua zaidi ya miezi 2 mpaka watu waitwe katika interview au kazi.Tatizo huwa nini hasa kwa sababu mwisho wa siku hawatoi short list wanaita watu wote,.....au wanakuwa wanatangaza wakiwa hawakujipanga kifedha.
Tangazo la kazi linatangazwa July unaitwa December kuanza kazi,mpaka unakuwa umeshasahau kama uliwahi kuomba katika kampuni husika.
Tulijadili hili wana JF.
Tangazo la kazi linatangazwa July unaitwa December kuanza kazi,mpaka unakuwa umeshasahau kama uliwahi kuomba katika kampuni husika.
Tulijadili hili wana JF.