C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 162
Hivi hakuna uwezekano wa kuwa na makampuni yanayotoa huduma ya umeme zaidi ya moja kama ilivyo kwa makampuni ya simu za mkononi?? Kwa nini TANESCO wawe monopoly kiasi hicho?, kwani TANESCO ni nini hasa??!!!!! Au na hilo nalo tudai kama tunavyodai Katiba ya nchi na Tume nyingine ya uchaguzi?!
Ona sasa eti wanataka kupandisha gharama za umeme kwa asilimia 18%, mambo gani haya?! Au ndo tushaanza kulipa gharama za uchaguzi za C*M za mat-shirt, kofia, mabango na noti walizo kuwa wanagawa bure?!. Ufisadi huu jamani. Na bado, huo ni mwanzo tu.
Tusikubali, hakuna kukubali!! Tuungane na CHADEMA kulipinga hili.
Ona sasa eti wanataka kupandisha gharama za umeme kwa asilimia 18%, mambo gani haya?! Au ndo tushaanza kulipa gharama za uchaguzi za C*M za mat-shirt, kofia, mabango na noti walizo kuwa wanagawa bure?!. Ufisadi huu jamani. Na bado, huo ni mwanzo tu.
Tusikubali, hakuna kukubali!! Tuungane na CHADEMA kulipinga hili.