Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Ofisi ya DPP pekee imetoa majaji wanne wa mahakama kuu ya Tanzania. Hawa ndio walikuwa engine ya kuvurugwa mfumo wa haki.
Je majaji wanashtakiwa? Kama awashtakiwi hii yakuwateua haiwezi kuwa njia yakuwaficha wasipambane na mkono wa dola?
Tufungue macho tusiwaamini sana wanasiasa, Wana njia nyingi zakukwepa uwajibishwaji wa watu waliowasaidia kubaki madarakani. Ule mkeka wa majaji una maswali mengi sana, tuumulike
Je majaji wanashtakiwa? Kama awashtakiwi hii yakuwateua haiwezi kuwa njia yakuwaficha wasipambane na mkono wa dola?
Tufungue macho tusiwaamini sana wanasiasa, Wana njia nyingi zakukwepa uwajibishwaji wa watu waliowasaidia kubaki madarakani. Ule mkeka wa majaji una maswali mengi sana, tuumulike