Director D
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 192
- 229
Habarini Wakuu
Katika kupitapita huku na kule nimekuwa najiuliza hili swali kwa nini katika vilabu vya pombe na kumbi mbalimbali za starehe kuna idadi kubwa ya wanaume, kwa nini wanaume ndio walevi sana kuliko wanawake.
.
Kwa nini wanaume ndio walevi zaidi kuliko Wanawake....??
.....
Katika kupitapita huku na kule nimekuwa najiuliza hili swali kwa nini katika vilabu vya pombe na kumbi mbalimbali za starehe kuna idadi kubwa ya wanaume, kwa nini wanaume ndio walevi sana kuliko wanawake.
.
Kwa nini wanaume ndio walevi zaidi kuliko Wanawake....??
.....