Hivi kwa nini Wachagga wengi meno yao ni ya rangi gold?

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,572
31,887
Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..

Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
 
Tutake radhi plzz Ritz!!
Waarusha ndio wana meno ya hiyo colour!!
Ni kwa sababu ya maji!!
 
Sehemu zenye volcanic bedrocks ziko associated na Fluoride salts kama sodium fluoride na nyinginezo ambazo ni highly soluble in water. Hivyo basi, maji yanayopatikana kwenye sehemu hizi mara nyingi huwa yana high fluoride content.

Ingawa fluoride ni muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa kuimarisha meno na mifupa, kiwango cha juu kuzidi WHO guideline value kwenye maji ya kunywa hasa hasa ( ambayo ni 1.5 mg/l), husababisha fluorosis kama vile teeth fluorosis, bowed legs na hata skeletal fluorosis.

Salts zinazopatikana kwenye volcanic soils pia zinakuwa associated na high fluoride concentration e.g magadi; pia mimea inayoota kwenye volcaic soils ambazo zina high fluoride content. Hivyo basi, matumizi ya magadi au chakula kilichopatikana kwenye high fluoride soils kunaweza kusababisha fluorosis hata pale mtu anapotumia maji ambayo ni fluoride free.

Dr Riwa anaweza kuwa anajua zaidi.
 
Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..

Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
Mimi naamini unajua ila umejifanya haujui. Kwanza nipingane na wewe siyo wachaga pekeyao bali maeneo yote ambayo watu wanaishi ambako maji yake yana madini aina ya florine nyingi basi meno yao ni lazima yaathirike! Najua kabisa Rejao wachaga wanakupa sana shida sijui kwa sababu wengi wapo upinzani aka CDM!
 
Sehemu zenye volcanic bedrocks ziko associated na Fluoride salts kama sodium fluoride na nyinginezo ambazo ni highly soluble in water. Hivyo basi, maji yanayopatikana kwenye sehemu hizi mara nyingi huwa yana high fluoride content.

Ingawa fluoride ni muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa kuimarisha meno na mifupa, kiwango cha juu kuzidi WHO guideline value kwenye maji ya kunywa hasa hasa ( ambayo ni 1.5 mg/l), husababisha fluorosis kama vile teeth fluorosis, bowed legs na hata skeletal fluorosis.

Salts zinazopatikana kwenye volcanic soils pia zinakuwa associated na high fluoride concentration e.g magadi; pia mimea inayoota kwenye volcaic soils ambazo zina high fluoride content. Hivyo basi, matumizi ya magadi au chakula kilichopatikana kwenye high fluoride soils kunaweza kusababisha fluorosis hata pale mtu anapotumia maji ambayo ni fluoride free.

Dr Riwa anaweza kuwa anajua zaidi.
Wala hakuna haja ya Dr Riwa kuja, asipoelewa hapo labda ajitie kichwa ngumu.
 
Sehemu zenye volcanic bedrocks ziko associated na Fluoride salts kama sodium fluoride na nyinginezo ambazo ni highly soluble in water. Hivyo basi, maji yanayopatikana kwenye sehemu hizi mara nyingi huwa yana high fluoride content.

Ingawa fluoride ni muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa kuimarisha meno na mifupa, kiwango cha juu kuzidi WHO guideline value kwenye maji ya kunywa hasa hasa ( ambayo ni 1.5 mg/l), husababisha fluorosis kama vile teeth fluorosis, bowed legs na hata skeletal fluorosis.

Salts zinazopatikana kwenye volcanic soils pia zinakuwa associated na high fluoride concentration e.g magadi; pia mimea inayoota kwenye volcaic soils ambazo zina high fluoride content. Hivyo basi, matumizi ya magadi au chakula kilichopatikana kwenye high fluoride soils kunaweza kusababisha fluorosis hata pale mtu anapotumia maji ambayo ni fluoride free.

Dr Riwa anaweza kuwa anajua zaidi.

Good, very good, ritz sijui kasomea nini.
 
Tutake radhi plzz Ritz!!
Waarusha ndio wana meno ya hiyo colour!!
Ni kwa sababu ya maji!!

Ndugu yangu Rajao, mimi nina rafiki yangu mmoja anaitwa Mallya, pamoja na wife wake kutoka Kibosho, wote meno yao ni ya Gold
 
wachaga wachaga wachaga mpaka mtashtukia tunawatala,,kila mmoja analeta lake
 
Wachaga tunawatesa sana makabila mengine,namshukuru mungu kuwa mchaga,chaga run this country .
 
uongo! hyo si sifa ya wachaga, ni ya wambulu. ila wengi hudhani wale nao ni wachaga kwa lafudhi yao na rangi. sie wachaga wa rofombo ni mmoja kati ya mia ndo huwa na mimeno grillz!
 
mimi naamini unajua ila umejifanya haujui. Kwanza nipingane na wewe siyo wachaga pekeyao bali maeneo yote ambayo watu wanaishi ambako maji yake yana madini aina ya florine nyingi basi meno yao ni lazima yaathirike! Najua kabisa rejao wachaga wanakupa sana shida sijui kwa sababu wengi wapo upinzani aka cdm!

hako kasentens ka mwishooooo!mweee!!!
 
wachagga tena, leo tuna meno ya dhahabu, na waarusha wawe na meno gani?
(kiasi kidogo saaaaana cha wamachame na wakibosho ndo wenye meno haya)
 
mkuu nataka nikuelimishe kidogo si wachaga wenye meno ya gold ni watu wote wanaotokea arusha au kuzaliwa arusha ndo wenye meno ya gold. na hiyo inatokana na madini ya fluoride yanayopatikana kwawingi kwenye maji ya kunywa.
 
Tutake radhi plzz Ritz!!
Waarusha ndio wana meno ya hiyo colour!!
Ni kwa sababu ya maji!!

Nawe Rejao watake radhi wenyeji. Hakuna kabla la waarusha wapo maasai ama haujapitia History darasani? Na bila shaka we na huyo mwenzio ritz hamna tofauti ktk ID zenu. Meno yako mwenyewe ndiyo hivyo. Tena watake radhi mapema.
 
Mimi naamini unajua ila umejifanya haujui. Kwanza nipingane na wewe siyo wachaga pekeyao bali maeneo yote ambayo watu wanaishi ambako maji yake yana madini aina ya florine nyingi basi meno yao ni lazima yaathirike! Najua kabisa Rejao wachaga wanakupa sana shida sijui kwa sababu wengi wapo upinzani aka CDM!

Mkubwa! Achana kabisa na huyu ritz,Rejao na wengine kama hao 2naowajua humu jamvini kwani majibu wanayo halafu wana2gasi hovyo humu ndani. Kama m2 kapitia shule ya msingi then vidato vingine halafu analeta topic kama hii ya ritz si ajabu tupo. Halafu naye Rejao anasema watakiwe radhi wachagga kwani wao hawana meno kama hivyo waarusha ndiyo wanayo. Nimemshangaa kidogo lakini baada ya kufikiri nikajua ndiyo walewale na inaweza ikawa ndiyo hivyo alivyo na nikamwambia hakuna kabla la waarusha bali tunayo kabla la maasai hapa Arusha na karibu wametapakaa Nchi nzima.
 
Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..

Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
sio tu wachaga ila hata baadhi ya watu wa mbeya. hilo ni kwa sababu ya maji
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom