Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naamini unajua ila umejifanya haujui. Kwanza nipingane na wewe siyo wachaga pekeyao bali maeneo yote ambayo watu wanaishi ambako maji yake yana madini aina ya florine nyingi basi meno yao ni lazima yaathirike! Najua kabisa Rejao wachaga wanakupa sana shida sijui kwa sababu wengi wapo upinzani aka CDM!Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..
Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
Wala hakuna haja ya Dr Riwa kuja, asipoelewa hapo labda ajitie kichwa ngumu.Sehemu zenye volcanic bedrocks ziko associated na Fluoride salts kama sodium fluoride na nyinginezo ambazo ni highly soluble in water. Hivyo basi, maji yanayopatikana kwenye sehemu hizi mara nyingi huwa yana high fluoride content.
Ingawa fluoride ni muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa kuimarisha meno na mifupa, kiwango cha juu kuzidi WHO guideline value kwenye maji ya kunywa hasa hasa ( ambayo ni 1.5 mg/l), husababisha fluorosis kama vile teeth fluorosis, bowed legs na hata skeletal fluorosis.
Salts zinazopatikana kwenye volcanic soils pia zinakuwa associated na high fluoride concentration e.g magadi; pia mimea inayoota kwenye volcaic soils ambazo zina high fluoride content. Hivyo basi, matumizi ya magadi au chakula kilichopatikana kwenye high fluoride soils kunaweza kusababisha fluorosis hata pale mtu anapotumia maji ambayo ni fluoride free.
Dr Riwa anaweza kuwa anajua zaidi.
Sehemu zenye volcanic bedrocks ziko associated na Fluoride salts kama sodium fluoride na nyinginezo ambazo ni highly soluble in water. Hivyo basi, maji yanayopatikana kwenye sehemu hizi mara nyingi huwa yana high fluoride content.
Ingawa fluoride ni muhimu kwenye mwili wa binadamu kwa kuimarisha meno na mifupa, kiwango cha juu kuzidi WHO guideline value kwenye maji ya kunywa hasa hasa ( ambayo ni 1.5 mg/l), husababisha fluorosis kama vile teeth fluorosis, bowed legs na hata skeletal fluorosis.
Salts zinazopatikana kwenye volcanic soils pia zinakuwa associated na high fluoride concentration e.g magadi; pia mimea inayoota kwenye volcaic soils ambazo zina high fluoride content. Hivyo basi, matumizi ya magadi au chakula kilichopatikana kwenye high fluoride soils kunaweza kusababisha fluorosis hata pale mtu anapotumia maji ambayo ni fluoride free.
Dr Riwa anaweza kuwa anajua zaidi.
Wala hakuna haja ya Dr Riwa kuja, asipoelewa hapo labda ajitie kichwa ngumu.
mimi naamini unajua ila umejifanya haujui. Kwanza nipingane na wewe siyo wachaga pekeyao bali maeneo yote ambayo watu wanaishi ambako maji yake yana madini aina ya florine nyingi basi meno yao ni lazima yaathirike! Najua kabisa rejao wachaga wanakupa sana shida sijui kwa sababu wengi wapo upinzani aka cdm!
Tutake radhi plzz Ritz!!
Waarusha ndio wana meno ya hiyo colour!!
Ni kwa sababu ya maji!!
Tutake radhi plzz Ritz!!
Waarusha ndio wana meno ya hiyo colour!!
Ni kwa sababu ya maji!!
Mimi naamini unajua ila umejifanya haujui. Kwanza nipingane na wewe siyo wachaga pekeyao bali maeneo yote ambayo watu wanaishi ambako maji yake yana madini aina ya florine nyingi basi meno yao ni lazima yaathirike! Najua kabisa Rejao wachaga wanakupa sana shida sijui kwa sababu wengi wapo upinzani aka CDM!
sio tu wachaga ila hata baadhi ya watu wa mbeya. hilo ni kwa sababu ya majiWakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..
Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua naomba anijuze
Wachaga tunawatesa sana makabila mengine,namshukuru mungu kuwa mchaga,chaga run this country .