Hivi kwa nini TV za Bara zinadharau majanga yanayotokea visiwani Zanzibar?

Hivi katika hiyo boti hakuna mtanganyika hata mmoja aliekufa, Bona hapo bandarini Dar tunasikia na kuona vilio vyenye lafudhi ya Kitanganyika? Inasemekana 85% ya watu waliokufa ni watanganyika.
 
Hivi katika hiyo boti hakuna mtanganyika hata mmoja aliekufa, Bona hapo bandarini Dar tunasikia na kuona vilio vyenye lafudhi ya Kitanganyika? Inasemekana 85% ya watu waliokufa ni watanganyika.

hao kwenye red ni wazanzibara (halfcast wa kitanganyika na kiunguja kama alivyokuwa mzee karume)
 
Kama hii ni adhabu ya wachoma makanisa, basi na wakristo wenyewe wamo maana na wao wamekufa. Na kibaya zaidi kwa wakristo hao sasa watazikwa kiislam

Imam Yusuf, unamaana ukifukiwa chini ya kina cha bahari ndo kuzikwa kiislam?, ok, angalau pia umaweka kumbukumbu zaidi kuwa lililobaya zaidi ni kuzikwa kiislam. Nakutakia ramadhani njema.
 
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Usitutusi tafadhali.... Zanzibar ni nchi....ina rais wake, ina bendera na ina wimbo wa taifa na ina TV na REDIO yake......mie naona ni sawa tu na tunavyoshirikiana na uganda na Kenya.....
 
Kwani znz si nchi ina maana hawana vikosi vya uwokoaji
Tanganyika tunavyo

Anauliza kwanini media zinapiga ngoma kama hakuna chochote kilichotoke wewe unaleta habari zako za vikosi
 
lakini hujui kuwa muanzisha post ameonesha uzanzibari zaidi as if kila anyeingia na kutoka zanzibar ni mzazibari tu!, amesahau udhaifu wa vyombo vya habari vya afrka bali anaweka mbele uzanzibari!, na wazanzibari wote wanaomuunga mkono wana mawazo finyu kama mkia wa nguruwe................................

Ficha upumbavu wako na uonyeshe busara zako ila wewe umekuwa viceversal yake
 
Kwenye matatizo ndo mnakumbuka muungano enhe?
Dhambi ya nkuchoma makanisa itawamaliza
 
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u

mbona wakati tunakwepa mabomu ya gongolamboto na mbagala wapemba na waunguja na vyombo vyao waliendelea kupiga kaswida na kula ulojo.
 
Hivi kweli Tz Bara imetangaza siku za maombolezo kutokana na maafa yaliyotokana na ajali hiyo?
 
Hivi kweli Tz Bara imetengeneza siku za maombolezo kutokana na maafa yaliyotokana na ajali hiyo?
 
acheni uchichezi wa kijinga usio na mantiki kwa kipindi hiki kigumu kwa wenzetu wa zanzibar.polesi sana wafiwa.
 
Zanzibar ni nchi ndani ya JMT. Msiba wenu huo, mnalo hilo, chezea kuchoma makanisa weye! Subirini tuvunje Muungano mpate Tsunami mfutike kabisa kwenye ramani ya Dunia,
 
Back
Top Bottom