Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Hiyo ni laana mliyojitakia.
Zanzibar ni nchi na katka hali iliyopo Muulizeni Maalim Sharrif.
Ila wajameni sio sawa, yani kama mtu hatumii internet hawez kujua nini kimetokea.! Tv za bara hata kupitisha subtitle za breaking news wapi..lol tanzania hii
zanzibar ni nchi bebeni mizigo yenu .
watanganyika acheni ujinga hapa kwa taarifa yenu miongoni mwa maiti zilizo patikana wamo watanganyika wenzenu na inabidi tuwafukie leoleo usiku kwa kukosa wa kuwatambua hii ni ajali usishangae ukakuta unapewataarifa mmoja ni ndugu yako wa damu . Sisi sote tutakufa ila kila mmoja na staili yake so usiwe mjinga katika maafa.
watanganyika acheni ujinga hapa kwa taarifa yenu miongoni mwa maiti zilizo patikana wamo watanganyika wenzenu na inabidi tuwafukie leoleo usiku kwa kukosa wa kuwatambua hii ni ajali usishangae ukakuta unapewataarifa mmoja ni ndugu yako wa damu . Sisi sote tutakufa ila kila mmoja na staili yake so usiwe mjinga katika maafa. ANGALIA LINK HAPO chini sio wa znz peke yao hili ni janga.
ZanziNews Blog: Picha ziadi maafa ya meli
na nyie waunguja acheni upuuuzi wakati treni inaanguka huku Gulwe Dodoma mbona Wapemba na Waunguja walikuwepo ndani ya siku 3 hawakutambulika na tukawazika makaburi ya Relwe maili 2, nyie huko Visiwani hamkusimamisha chochote.
Tusitishane maana mmejazana huku bara kuchukua michele wala hatuwabugudhi TUNACHOWAAMBIA MUNGU AMEYAONA MASAIBU YA WATU WAKE MLIOWACHOMEA MAKANISA NA BAA ZAO zote ni Gharika maji na moto sawa
Mm nawaombea wote waliofariki walale mwa amani wabaki hawa vichwa ngumu tuwape Visiwa vyao