Chips kuku na ubongo nao umekuwa broilaNimekuwa nikiuliza sana ,imekuwaje kizazi cha sasa hakigundui tena methal na nahau kama ilivyokuwa zamani! Nimetumia neno kugundua kwa kuwa nimekosa neno sahihi.
Je ni kwa nini methali ,nahau na vitendawili vyote ni vya zamani!
Mkuu kama huana hata mfano mmoja maelezo yako yanatia shika!Mi nadhani sio kwamba hakuna methali wala nahau mpya za wakati huu ,zipo ila nadhani hazijarasmishwa na taasisi husika mfn;kuandikwa kwenye vitabu mbalimbali vya kufundishia.
Samahani nimekosa mfano wa kuambatanisha kwa sababu mm sio mtaalam wa lugha