salisalum
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 418
- 136
Ndg wana JF,
Nilikuwa nikifuatilia sana kujihusisha kwa JK kwenye kumbukumbu ya JKBN, nime-note kwamba jamaa alikuwa low profile all the time. Hata kwenye kuwasha mwenge kule Butiama hakwenda. JKBN alithamini sana mwenge alikuwa mara nyingi akiuwasha na kuuzima pale mwisho. Nilitegemea walau hapa angejihusisha.
JK huwa hampendi JKBN, basi anajificha kwenye kivuli chake tu ili afaninikishe mambo yake ya siasa. Aliwahi kusikika mahali akisema ..''haka kazee na kenyewe kalifanya makosa mengi tu, lakini sisi ndio tunasemwa na kulaumiwa kila wakati''. Ikadhihirisha kuwa JK huwa ana bifu sana na JKBN, sijui asili yake ni wapi. Kikumsaidia JKBN alimsaidia sana JK, aliwachukua pale Mlimani na baba yangu akawapeleka Monduli na kadhalika na kadhalika hadi Mwinyi alipokuja kumuona.
JK kwa nini anamchukia hata mtu asiyekuwapo duniani?
Nilikuwa nikifuatilia sana kujihusisha kwa JK kwenye kumbukumbu ya JKBN, nime-note kwamba jamaa alikuwa low profile all the time. Hata kwenye kuwasha mwenge kule Butiama hakwenda. JKBN alithamini sana mwenge alikuwa mara nyingi akiuwasha na kuuzima pale mwisho. Nilitegemea walau hapa angejihusisha.
JK huwa hampendi JKBN, basi anajificha kwenye kivuli chake tu ili afaninikishe mambo yake ya siasa. Aliwahi kusikika mahali akisema ..''haka kazee na kenyewe kalifanya makosa mengi tu, lakini sisi ndio tunasemwa na kulaumiwa kila wakati''. Ikadhihirisha kuwa JK huwa ana bifu sana na JKBN, sijui asili yake ni wapi. Kikumsaidia JKBN alimsaidia sana JK, aliwachukua pale Mlimani na baba yangu akawapeleka Monduli na kadhalika na kadhalika hadi Mwinyi alipokuja kumuona.
JK kwa nini anamchukia hata mtu asiyekuwapo duniani?