wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
- Thread starter
- #21
Ndio maana anapiga chengahahahaha wadau hua wanampopoa mawe mzima mzima!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana anapiga chengahahahaha wadau hua wanampopoa mawe mzima mzima!
Million Mia moja zinastua kuliko dola elfu 50
Kwa hiyo wanarahisisha kwa dolarMillion Mia moja zinastua kuliko dola elfu 50
Wabongo wengi ni mbumbumbu na vihiyo wa exchange rates
Nimepata kitu hapaWabongo wengi ni mbumbumbu na vihiyo wa exchange rates
andika vizuri. au bado upo stend unapiga debe?Sasa mbona bela ikiyumia ya nchini mwwtu ambayo tunaaminishwa no kodi zefu inatamkwa kwa dolar
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wameshakatwa mkia hawana chao green stand.Mimi nimekaa hapa namsubiri polepole na kheri james waje watueleze kiundani