wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Yaani kwa mfano mradi au kitu kikubwa kikinunuliwa na nchi fulani hela yake hata kama wametoa ya nchi husika lakini itatamkwa kwa mfano " mradi huu wa ujenzi wa barabara ya juu umegharimu dolar za kimarekani sh,labda bilioni fulani" hata kama hiyo nchi imetoa hela yake yenyewe lakini hii hela inatamkwa hela ya nchi nyingine .
Hata kama dolar ni hela za marekani ndio lakini kwa nini kila kitu kikinunulowa kwa hela nyingi kinahusishwa na hii dolar ya kimarekani?naomba kujuzwa
Hata kama dolar ni hela za marekani ndio lakini kwa nini kila kitu kikinunulowa kwa hela nyingi kinahusishwa na hii dolar ya kimarekani?naomba kujuzwa