Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Mkoa wa Iringa yawezekana unaongoza kwa watu kuamua kukatisha uhai aidha kwa kujitundika au kwa kunywa sumu ukilinganisha na sehemu zingine.
Huyu ni askari wa kampuni ya ulinzi Force group security Charles Tuli (33) akiwa amejining'iza mkazi wa Kalenga akiwa amejining'niza maeneo ya Frelimo kwa kutumia mkanda wake wa suruali.
Askari huyu akining'ing'ia kwenye mpera ni kama futi 3 na kimo chake ni futi 5. ukiangalia kwa makini miguu yake imejikita chini ya ardhi.
Maswali mengi ya kujiuliza kwa nini watu wengi lringa wanapenda sana kujining'ing'niza? Kibaya zaidi hawaachi hata ujumbe ni kitu gani kilicho msibu mpaka akaamua kukatisha uhai wake inabaki tu ni siri yake. Je kuna haja serikali ikaanzisha kampeni kupiga vita watu wanao jinyonga?
Kijana Nico Chalela (28) akiwa amejinyonga huku amepiga magoti eneo la mshindo
Kijana Nico akiwa amening'ing'ia kiaina
Askari Kanzu wakimtoa Nico kwenye kitanzi.
Tukio hili limetokea usiku wa kuamkia Krismas 2010
Huyu ni askari wa kampuni ya ulinzi Force group security Charles Tuli (33) akiwa amejining'iza mkazi wa Kalenga akiwa amejining'niza maeneo ya Frelimo kwa kutumia mkanda wake wa suruali.
Askari huyu akining'ing'ia kwenye mpera ni kama futi 3 na kimo chake ni futi 5. ukiangalia kwa makini miguu yake imejikita chini ya ardhi.
Maswali mengi ya kujiuliza kwa nini watu wengi lringa wanapenda sana kujining'ing'niza? Kibaya zaidi hawaachi hata ujumbe ni kitu gani kilicho msibu mpaka akaamua kukatisha uhai wake inabaki tu ni siri yake. Je kuna haja serikali ikaanzisha kampeni kupiga vita watu wanao jinyonga?
Kijana Nico Chalela (28) akiwa amejinyonga huku amepiga magoti eneo la mshindo
Kijana Nico akiwa amening'ing'ia kiaina
Askari Kanzu wakimtoa Nico kwenye kitanzi.
Tukio hili limetokea usiku wa kuamkia Krismas 2010