Nahakika hunijui kama wewe wa huko ungana nami kupigania haki za wanao toa uhai wao[/QUOT
NitakapokuPM utapata uhakika, na tutaungana kupigania haki pamoja. Nyongise
Afadhali sasa kuna mkoa wa Njombe, maana tulijumlishwa humo, hata Tabora watu wanajinyonga n.k n.k.haha ndimgaya sida beeh
serikali inapo amua kubaki kimyaa na kulifumbia macho swala hili hamuoni kama ni hatari sana kwa vizazi vijavyo?
Inawezekana pia kuna matukio kama hayo mikoa mingine lkn hayatangazwi kama ilivyo kwa Iringa! lkn pia watu wa huko wanapaswa kupewa ushauri nasaha kwa kupitia taasisi mbalimbali either za serikali,dini pia ina nafasi yake kubwa sana,,na NGO's.