Hivi kwa nini kusingekuwa na cheo cha naibu waziri mkuu

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,795
Hiki cheo kingekuwepo mi nadhani kingesaidia hata majukumu ya waziri mkuu kuwa makubwa na wakati mwingine hata kumpinguzia mh rais kazi kubwa ya kumchagua waziri mkuu mwingine endapo aliepo atapatwa na kashfa labda ya kumpelekea kujiuzulu hata wakati wazjri mkuu akiwa likizo au ziarani huyu naibu wake anaendelea labda na shughuli za bungeni kama zile za kujibu majibu ya papo kwa papo,
Au nyie mnaonaje hili swala..
Nimewasilisha karibuni kwa mjadala
 
Back
Top Bottom