Kuna mkaka jamani alikuwa anakazi nzuri kwenye magazeti bongo alikuwa hakosi .Huyu kaka amekuja USA tena na student visa Hana social Hana ID na Kule bongo kazi aliacha.Nilienda SAMs club nikaingia mlangoni nikamgundua ni mtanzania yupo pale anafanya kazi macdonald na hii macdonald manager mbongo kwa hiyo kamsaidia tu.Dah yaani machozi yalinidondoka ,hivi Huku USA mnakupendea nini.hapa mimi nimemwambia mume wangu akiretire tu half Tanzania half Huku.