Hivi kwa nini Ghana inatajwa kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika?

Sawa mkuu nimekuelewa turudi kwenye mada yetu tusitoke nje, Je kwanini Ghana inatajwa kuwa ni nchi ya kwanza
kupata uhuru Afrika?

Mimi sijawahi kuitaja kuwa hivyo. Na ukweli wa mambo unaonyesha haikuwa nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika.

Ili Ghana iwe nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika basi itabidi hizo nchi nyingine zilizoko Afrika ya kaskazini uzihamishe na ziwe kwenye bara lingine.

Zaidi ya hapo huwezi kuiandika upya historia vile upendavyo wewe.

Na hao wanaoitaja Ghana kuwa ndo nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika ama wanafanya hivyo kwa makusudi ya kupotosha watu na kupindisha historia au hawaujui ukweli.
 
Mimi sijawahi kuitaja kuwa hivyo. Na ukweli wa mambo unaonyesha haikuwa nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika.

Ili Ghana iwe nchi ya kwanza kupata uhuru Afrika basi itabidi hizo nchi nyingine zilizoko Afrika ya kaskazini uzihamishe na ziwe kwenye bara lingine.

Zaidi ya hapo huwezi kuiandika upya historia vile upendavyo wewe.

Mkuu tunamwelimisha alieleta hii "thread" maana haelewi na ndio anataka kufahamu.

Ungekuwa unamjibu yeye ungempa jibu hilo kweli?
 
Why are we uncritically accepting the European notion that there is something called Africa south of the Sahara, much as we continue to talk of the third world? Ramani ya Africa inaonyesha wazi ni nchi gani zilizoko kwenye bara hili. Sasa hii ya kusema Afrika kaskazini sio Afrika inatoka wapi? The claim that Ghana is the first African country to gain independence needs to be revised. Not everything that is written in the history books is the holly truth that can not be challenged!
 
mtazamo wa kikoloni huwa unapenda sana kututenga nao...lazima wanatumia maneno kama africa kusini mwa jangwa la sahara....na mengineyo ili kuweka tofauti...ukiweka nchi za kiarabu zilizo africa,Ghana sio ya kwanza.lakini hata watu wa nchi hizo wanatuona sisi ndio wa africa na wao sio...politicians wao wanajua umuhimu wa kushirikiana,sababu za kidiplomasia..na biashara na uchumi...lakini wananchi wao,ni hadithi tofauti kabisa.

Hilo usemalo ni kweli kabisa mkuu.
 
When u talk of Africa, literary, historically, originally, culturally u talk of sub saharan Africa. When did African ancestors enslave and colonise his brother? It is on that premise and reality that Ghana was the 1st
 
pia mtambue kuwa hata hao wamisri tulionao huku nje ya Africa hawatambui hii siku tuitayo AFRICA DAY,wao wanasema kuwa hawatoki Africa wao wana toka nchi za KIARABU
nayaongea haya kwa kuwa niko nao hapa na hata vikao vya maandalizi ya AFRICAN DAY hawatokei hata michango wamegoma kutoa

kwa mtindo huu basi ni kweli Ghana itabaki kuwa nchi ya kwanza kupata uhuru Africa,na Misri,moroco na nyinginezi zitabaki kuwa ni nchi za KIARABU
 
When u talk of Africa, literary, historically, originally, culturally u talk of sub saharan Africa...
Aisee, wewe unaongela vitu gani? Unataka kusema, kwa mfano, Egypt sio Africa; kama wazungu wasemavyo, siyo?

When did African ancestors enslave and colonise his brother?...
Why are you romanticizing African history? Waafrica tumeuwana sana na tumefanyana watumwa sisi kwa sisi kwa karne nyingi tu. Soma historia yako vizuri and stop looking at Africans as innocent, romantic and heavenly people. There must be a limit to African nationalism somewhere!
 
...wao wanasema kuwa hawatoki Africa wao wana toka nchi za KIARABU...
Kwa mantiki hiyo basi hata Somalia sio nchi ya kiafrica. Wasomalia wanasema wao sio waafrica. Kuna waethiopia wengi tu nao wanasema wao ni wayahudi. Mbaya zaidi kuna wale wanaotoka Cape Verde nao wanasema sio waafrica. Hizo nchi zote nilizozitaja ziko south of Sahara!
 
Kwa mantiki hiyo basi hata Somalia sio nchi ya kiafrica. Wasomalia wanasema wao sio waafrica. Kuna waethiopia wengi tu nao wanasema wao ni wayahudi. Mbaya zaidi kuna wale wanaotoka Cape Verde nao wanasema sio waafrica. Hizo nchi zote nilizozitaja ziko south of Sahara!

Unajua hata mimi kabla sijatoka Tanzania, nilikuwa naamini sana yale tuliyoimbishwa na Nyerere, "Binadamu wote ni sawa, na Afrika ni moja". Sikuwahi kufikiria kuwa kuna mwafrika anajiona bora kuliko mwingine. It was a disappointment nilipoanza kutembelea nchi mbali mbali. Nikakutana na blacks from francophone countries wanaotudharau na kutuchukia anglophone. Nikakutana na Waarabu wa Misri na Algeria walikokuwa wanasema wao sio waafrika. Nikakutana hata na wasomali waliodai kuwa wao ni waarabu na sio waafrika. Hii kitu ni vigumu sana kumwelewesha mtu ambaye hajakutana na watu wa namna hii huko nje.

Kwa ujumla sisi weusi tunajiona ni binadamu sawa na wengine na tunaheshimiana kwa kiwango fulani na pia tunawaheshimu wasio weusi kama binadamu ambao tuko sawa nao. Lakini wenzetu wanatuona sisi ni binadamu wa kiwango cha chini, na hata wanapojifanya kutuonesha upendo, huwa ni UNAFIKI wao tu. To them, we are not equal human beings. To us They are equal human beings! This is the ugly truth!

Kisiasa, tutasema waarabu wa North Africa ni waafrika wenzetu na kwa hiyo Ghana sio ya kwanza kupata uhuru. Lakini kiuhalisia, wenzetu hawajiiti Africans. Ndio maana hata kuna wakati fulani Moroko walisema ni bora kujiunga na EU.
 
Aisee, wewe unaongela vitu gani? Unataka kusema, kwa mfano, Egypt sio Africa; kama wazungu wasemavyo, siyo?

Why are you romanticizing African history? Waafrica tumeuwana sana na tumefanyana watumwa sisi kwa sisi kwa karne nyingi tu. Soma historia yako vizuri and stop looking at Africans as innocent, romantic and heavenly people. There must be a limit to African nationalism somewhere!

ukiacha wale mamluki na makuwadi wa biashara ya utumwa, kina tip tippu na wengine una mifano ambayo waafrika walifanyana watumwa? Forget the arabs. Somalia, sudan, ethiopia, eritrea wanajishaua tu. Hao ni waafrika. After all ni rahisi kwa baba kumchapa mtoto wake kuliko jirani
 
Kwa mantiki hiyo basi hata Somalia sio nchi ya kiafrica. Wasomalia wanasema wao sio waafrica. Kuna waethiopia wengi tu nao wanasema wao ni wayahudi. Mbaya zaidi kuna wale wanaotoka Cape Verde nao wanasema sio waafrica. Hizo nchi zote nilizozitaja ziko south of Sahara!

hao wewe unawasemea lakini hawa ninao sema mimi wao wenyewe kwa vinywa vyao wanalisema hilo na tunao hao unao wasema wewe lakini wanajitambulisha kama ni kutoka Africa lakini hao wa upande wa pili dhahili shahili hawataki kulisikia hilo la uafrica wanalotaka kulisikia ni la nchi za kiarabu
Nikukumbeshe kuwa hata wimbi la vuguvugu la mabadiliko linalotokea sasa Libya ukisiliza vizuri habari wakati wa kuripoti hawasemi libya nchi iliyopo africa wanasema nchi ya kiarabu kama ilivyo misri na nyinginezo

pia kumbuka hata misri walilisema hilo na wakaandaa mkakati wa kujitenga lakini iliwawia ngumu,

tuiache gana kuwa ni ya kwanza kupata uhuru kwa africa na nchi za kiarabu zibaki kama zinavyohitaji zenyewe kuitwa hivyo
 
hao wewe unawasemea...
Nadhani hujakutana nao. Jaribu kuwaita wamadagascar waafrika halafu njoo uniambie!

Swala langu ni kwamba hizo nchi kijeografia zipo katika bara la Africa. Tutake tusitake. Kama hukubali hili, basi nakuachia!
 
ukiacha wale mamluki na makuwadi wa biashara ya utumwa, kina tip tippu na wengine una mifano ambayo waafrika walifanyana watumwa?...
The kings of Dahomey, Bambara and Khasso. As late as 1840's King Gezo of Dahomey is quoted as saying "The slave trade is the ruling principle of my people. It is the source and the glory of their wealth…the mother lulls the child to sleep with notes of triumph over an enemy reduced to slavery…" - Wikipedia

FYI: I stopped defending Africans simply because they are Africans a long time ago!
 
labda uhuru wa Ghana unaosemwa ni uhuru wa kukabidhiwa nchi kwa mafile na kusaini treat ,maana hizo nchi nyingine wale wacolon waliondoka kimyakimya. Pia inaoneka pia kuwa effective occupation haikuwa implemented kama Ghana.
 
Swali.....What d'u get if these guys are or are not part of Africa?Mtu anasema sio african, ww wamung'ang'ania kwa sababu gani??Guys just agree that being black is a curse in this white man's world.Je jiulize Micheal jackson angekua 'mweusi' would he have been loved that way?? Ofcourse NOT!!
 
Hili swali vile vile liliwahi kujadiliwa kwenye Yahoo answers na kutokana na kura za wachangiaji, jibu lifuatalo lilichaguliwa kama ndio jibu sahihi:

Ghana was the 7th, 8th or 9th African country to gain independence - it depends how you count them.

Ethiopia has been an independent country for at least 2000 years. It was invaded by Italy for a short time until the Italians were overthrown on 5th May 1941. It's generally regarded that Ethiopia has never been colonized and as such this makes it the oldest independent country in Africa.

Liberia which was formed on 26th June 1847. However, it was a newly formed country so it didn't gain it's independence as such. If you exclude Ethiopia then Liberia is Africa's oldest independent country.

Liberia and Ethiopia aside there were 6 countries that gained independence prior to Ghana...

South Africa - 31 May 1910 - From the UK
Egypt - 28 February 1922 - From the UK
Libya - 24 December 1951 - From Italy
Sudan - 01 January 1956 - From the UK and Egypt
Morocco - 02 March 1956 - From France
Tunisia - 20 March 1956 - From France
Ghana - 06 March 1957 - From the UK

A chronological list of independence for African countries can be found in this link

Soth Africa ilipata uhuru ambao si kamili mwaka 1910....... haukua kamili kwa sababu ulikuwa ukiwahusu wazungu (makaburu) wachache........uhuru kamili ni ule wa mwaka 1994.
 
Swali.....What d'u get if these guys are or are not part of Africa?Mtu anasema sio african, ww wamung'ang'ania kwa sababu gani??Guys just agree that being black is a curse in this white man's world.Je jiulize Micheal jackson angekua 'mweusi' would he have been loved that way?? Ofcourse NOT!!

No. I personally cannot agree.
The blacker you are the better.
The skin pigment gives more protection to ionizing UV light. Black skin is healthier and less likely to get skin cancer. Black pigmentation also delays development of wrinkles as we get old. Being black is a blessing. The curse on us is only when we don't get good leaders to free us from the yokes of poverty and mental slavery.


this white man's world.

The world doesn't belong exclusively to the white man. By the way, have you ever seen a truly white person? I have never. I only meet pinkish-sorts-of and some yellows and browns. Strangely enough, in absence of the pink man, the brown and the yellow (especially the asians) also do claim to be white. Something is wrong with all mankind.
 
Back
Top Bottom