Moses Kyando
Member
- Mar 4, 2010
- 48
- 7
Kabla ya nchi ya Ghana kupata uhuru mwaka 1957 kuna nchi kama sita zilikwisha jipatia uhuru, Libya, Misri, Tunisia na nyinginezo zilikuwa tayari zimejipatia uhuru. Hivi ni kwa nini Ghana inatajwa kama nchi ya kwanza kupata uhuru?