BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
!!watanzania tulikuwa ma bogasi kweli mpaka mtu aakalazwe ujermani ndio watu wanakimbilia kupiga kelele nimekaa nikajiuliza baada ya makeelele mengi kwamba mkapa alipigwa na mkewe ndio maana akatembea na fimbo nusu mwaka na akuwaambia watanzania alikuwa amefanyaje mpaka yakamkuta je kuna mwenye uhakika jamani ..namwona huku arumeru kama anakakitambaa fulani keupe mkononi mara moja moja nikahisi maza ameshamtengua tena nini...hope hana tabia ya kupiga ile sehemu muhimu