Hivi kwa nini biashara ya albinos' organs hushamiri kipindi cha kampeni za uchaguzi?

Nzowa Godat

JF-Expert Member
Jun 15, 2011
2,783
819
Hivi kwa nini biashara ya albinos' organs hushamiri kipindi cha kampeni za uchaguzi? Imenibidi kuuliza swali hili coz vitendo vya mauaji ya albino, uchunaji ngozi, safari za bagamoyo kufukizwa ubani na kuvalishwa mihirizi, hujitokeza zaidi kipindi cha karibia uchaguzi.
 
Back
Top Bottom