Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Hivi kwa nini biashara ya albinos' organs hushamiri kipindi cha kampeni za uchaguzi? Imenibidi kuuliza swali hili coz vitendo vya mauaji ya albino, uchunaji ngozi, safari za bagamoyo kufukizwa ubani na kuvalishwa mihirizi, hujitokeza zaidi kipindi cha karibia uchaguzi.