wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Yaani mwanamke ambae niliwahi kumtongoza hapo kipindi cha nyuma tulipotezana kwa mda kutokana na mimi kuhamishwa ghafla kikazi sasa kwa kupindi hicho tulikuwa tunawasiliana sasa ikafika kipindi hakuna tena mawasiliano nae tena nikaaa mda kidogo bila kumpigia maana kila nikipiga alikuwa hapaitikana juzi kati hapa nikampigia mdogo wangu cm nikamuuliza vipi mtu fulani yupo? Dogo kanijibu yupo ila kajifungu..mi nikamuuliza dogo vipi kaolewa nini..dogo kasema hajaolewa kuna jamaa alimbebesha mimba akaingia mitini hivyo huyo dada yupo kwao analelea mtoto wake sasa juzi wakati niko likizo nimekutana nae na mwanae mi nikajifanya sijui kama ni mwanae nikamwambia naona umemsaidia wifi yako asee yule dada alidakia haraka haraka eeee bwana nimemsaidia wifi anajisikia vibaya nimemwacha anakuja nyuma huko polepole
Nilicheka kimoyo moyo sana sijui aliwaza nini kukataa kuwa yule sio mwanae
Nilicheka kimoyo moyo sana sijui aliwaza nini kukataa kuwa yule sio mwanae