wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Tangu nimekuja huku mjini mara kwa mara hua nikikutana na sherehe za kiislam hua mara nyingi wanaume ndo naona wanapika tena watu wazima kabisa.
Na sio hivyo tuu hivi ule ubwabwa huwa wanaweka nini maana ukiula kidogo mbashiba hadi mnaacha kwenye sinia.
Naomba kuwasilisha.
Na sio hivyo tuu hivi ule ubwabwa huwa wanaweka nini maana ukiula kidogo mbashiba hadi mnaacha kwenye sinia.
Naomba kuwasilisha.